Ufunuo wa Yohana 14:13
Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao.
1 Wakorintho :15:26
Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni kifo.
Mpk wakati huo ufike hatuna budi kuwa wanyonge kwa huyu adui wetu kifo. Kwa wale wanaolala wakiwa na tumaini kwa mwokozi wao Bwana Yesu kifo ni usingizi tu maana siku akirudi atawaamsha. Bwana atupe moyo wa hekima tuzihesabu siku zetu hizi chache za ubatili. Pole kwa familia ya mpigania demokrasia huyu nguli