Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

Mbeya tumeungana kupinga ukatili wa awamu hii....
Sema team Mwandosya na Lowasa sio mbeya wote Kuna majimbo mbeya walimgomea Mwandosya na Lowasa wake wakaipa CCM wakamwacha na Sugu wake na chadema yake mwandosya
 
hivi hao wote waliofungwa kisiasa kama uliye mtolea mfano mandela ulisoma hukumu yake iliandikwa mfungwa wa kisiasa??

kuna uwezekano mkubwa ww uelewa wako ni mdogo! kwa taarifa yako popote duniani hutapata hukumu itakayosema mfungwa wa kisiasa. jamii na dunia kwa ujumla ndio huamua na kusema yule ni mfungwa wa kisiasa. wanaangalia mazingira ya kosa na mkosoji.

yule ameongea akiwa jukwaani akijenga hoja zake za kisiasa. hoja hizo hizo serikali hii isiyopenda kukosolewa imeziona ni matusi. hata ww umeandika mada ndeeeeeeeefu lakn hujaandika hilo kosa la jinai alilotenda . sio dhambi kuandika kosa. maaana hakuna hukumu inayotolewa kwa bila kutaja kosa. ila kwa aibu huwez kuliweka hilo kosa hapa maana ni maneno ya kawaida hapa Tanzania
 
JANA NILIANDIKA HAPA, HUYU ANAE SUPPORT WATU WASIO NA HESHIMA KWA VIONGOZI WETU HAFAI HATA KUWA MWENYEKITI WA BOARD YA CHUO KWASABABU HATAKI KUUNGA MKONO UZALENDO NA KAZI ZILIZO TUKUKA AMBAZO MH. RAISI AMEZIFANYA KWA MDA MFUPI ALIO KAA MADARAKANI, BAADHI YA KAZI HIZO NI ELIMU BURE, RELI YA STANDARD GAUGE, FLY OVERS, KUZUIA WIZI WA RASMALI ZA NCHI, NA KULETA NIDHAMU KWENYE TAASISI ZA SERIKALI, NA KUKUA KWA UCHUMI WETU WA TANZANIA, Prof. ANATAKIWA KUJIULIZA, YEYE TANGU AWE MWANASIASA TUNAMKUMBUKA KWA LIPI? WATU KAMA SUGU WANAWASAIDIA NINI WANANCHI WA MBEYA?? KAZI YAO NI KUITUKANA SERIKALI TU, HAPO CHUONI NASIKIA ANA PROPAGATE UKABILA TU, HAKUNA ANACHOKIFANYA? KAMA KUNA MTU ANAFANYA KAZI HAPO ATUAMBIE AMESHA FANYA NINI CHA MAANA TANGU ATEULIWE?? AU ANAKULA POSHO NA MSHAHARA WA BURE?? HALAFU AMETEULIWA NA MPENDWA WETU RAISI, HUYOHUYO ANASUPPORT MATUSI YA AKINA SUGU?? SUGU NI RAIA KAMA ALIVYO RAIA MWINGINE ANAWAJIBU WA KUHESHIMU VIONGOZI NA KUFUATA SHERIA ZA NCHI, KAMA HUYO ANASABOTAGE SERIKALI, AHAMIE HUKO CDM ILI TUJUE KUW YEYE SIYO KADA MWENZETU WA CCM. HATUTAKI WANAFIKI NA WAFITINI.sina shaka kama prof haelewi nini maana ya rule of law.
 


Ndugu mwananchi

Umekosea sana kudai Mandela hakufungwa kwa kosa la jinai. Kwa mujibu wa walio mhukumu alifanya jinai kubwa kuliko zote katika uhaini.

Naomba urekebishe hilo. Hayo mengine ni mapambo tu kuhusu Sugu.
 
Huo uchumi umekuwa kwenye makaratasi au mifukoni mwa watanzania? Mkuu! Hebu basi jaribu kujibu kwa ujenzi wa hoja siyo ushabiki ambao hauna afya sana.

Turumbane kwa hoja, na siyo kwa itikadi zetu za kisiasa.
 
Bwana Muhungu najua hutaki kusikia jema au zuri alilofanya mh. rais katika taifa hili, hata hivyo ujue kuwa hata usipotaka kusikia, basi utasikia kwa kelele za watanzania walio wazalendo. Swala la kuwa na hela mfukoni ni subjective! wapo watanzania wana hela mifukoni na wengi wao ni wale wenye maisha ya kawaida ningeweza kuwataja hapa ila ntakuwa siwatendei haki, wewe kama hufanyi kazi uaitegemee serikali itakuletea hela mfukoni. Fanya kazi na upate hela za halali. Au nyie ndo mlizoea hela za madili, unga, rushwa n.k??
 
Jamani Mwandosya na Sugu wanatoka kumoja. Je kuna tatizo gani kwenda kumpa pole Sugu? Ama kuna mwiko kwa Ccm na chadema kupeana pole?
Nchi hii inakwenda kubaya kama fikra zetu ni kama za mleta uzi huu.
 
Sasa mnacholalamika ni nn hasa?mwandosya kumuunga mkono sugu au mwandosya kushindwa mara2 kura za maoni? Kuna watu wameshindwa mara kibao kura za maoni kuliko mwandosya ujue au tuwataje?
 
Sasa mnacholalamika ni nn hasa?mwandosya kumuunga mkono sugu au mwandosya kushindwa mara2 kura za maoni? Kuna watu wameshindwa mara kibao kura za maoni kuliko mwandosya ujue au tuwataje?
Wataje
 
Tatizo siasa za Tanzania zimekua za Uadui awamu ya Tano watu wanasahau kuna maisha baada ya siasa
 
Nachokijua Mwandosya ni mtu mwenye akiri timamu Prof anaejielewa ambae hapendi kujikomba kwa mtu na huyu mzee anajua kuna maisha baada ya siasa alafu mtu kua mpinzani haimanishi sio mtu wa kuonewa huruma au sio mtu tena wa kusalimiwa
 
Wary we huko wamepushana sana level ya unless labda shule sio consistency kilashali
 
Je hayo maneno aliyatolea wakati anafanya siasa au
 

Maelezo marefu upuzi mtupu
 



Wapiga vigelegele na wapayukaji msio na uelewa.

Hayo maandishi mekundu mmeyaelewa??
 
Marry Ngowi kama ni jina lako la ukweli naona unaendelea kutapika tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…