Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

Pumbavu, Mandela alifungwa kwa makosa ya kisiasa yanaitwaje?
Wewe ni nani umpangie 'Profesa' kitu cha kuongea?!
Eti yupo ccm, anatibiwa na Serikali SO WHAT?! Hela za Serikali ni za familia yako?!
 
Kila mtu kaochoka ccm ni wajinga wenye elimu ndogo masikini wa kutupwa wasio na vision na kina mama wa vijijini ndiyo wana i support ccm

Mwanahabari Huru Mshana Jr BAK FaizaFoxy Ritz
 
hivi aliyeiwaita wanasiasa wenzake malofa na wapambavu naye alitenda jinai???
 
Ni rahisi tu kumpa huru achague njia aipendayo,wengine walizaliwa kuishi kwa teuzi serikalini sasa bila teuzi maisha hayaendi sawa!

Mwandosya alitangaza mwenyewe kustaafu na kuonyesha jinsi gani alivyo serious hadi diplomatic passport alirudisha
 
Kumbe na wewe hukuelewa
 
Maandishi unajichanganyaaa hadi unasahau ulipoanzia!
Kwanza unakiri kuwa Sugu alifungwa, tatizo ni kwa kosa lipi! Tafsiri yako ni kosa la kawaida (jinai), n.a. kuwa si vinginevyo.

Swali: Maneno aliyotamka Sugu ni TUSI kwa tafsiri ipi,alikuwa wapi n.a. alikusudia nini?
Pili ni Sugu pekee anayetumia lugha aina hiyo (Lusinde,Magufuli,Mkapa) wameshafiikishwa mahakama ipi kama makosa ya kutumia lugha aina hizo ni jinai kawaida?.

Tatu uwoga wa kusema ukweli ili mtu aendelea kupata stahiki zake ni sumu Kali! Mwandosya kutumia haki yake ya kujieleza,wewe unaleta habari ya kutibiwa kwa gharama ya serikali (kujipendekeza,kujikomba).Roho mbaya kama ya Rais alivyodai kutoidhinisha malipo ya Maalim Seif kisa kamnyima Shein mkono)!

Ni aibu kwa mtu mzima kujivua nguo hadharani.
 
KADA08: Kwani kujitambulisha tu kwamba wewe ni CCM unaona nini hadi unahangaika kujitambulisha kwamba wewe ni mtanzania. kwani hao unaowachukia si watanzania?
 
UCD: Nyie CCM mnajivunia mbeleko ya vyombo vya dola kushinda uchaguzi lakini siyo ushawishi.
 
Kuteuliwa na Rais hakumfanyi kuwa kipofu kwa matendo yanayomhusu aliyemteua. Anabaki na HAKI zake zote,vinginevyo kwa wale wasiojitambua(Hii haihusiani na mkasa wa Sugu bali maelezo yako)

Pili,usitarajie kuwa ni jambo rahisi kumkuta mfungwa wa kisiasa gerezani na akawa na namba ya utambulisho kuonesha ni mfungwa wa kisiasa. Usiwafanye waliomfunga hawalijui hilo,naamini hata wewe unajua ila upo katika kutekeleza kazi zako.

Tatu,utofauti wa vyama hauwezi kutuondolea utu hadi tusifarijiane baada ya matatizo. Vinginevyo utuelze kama unafurahishwa na kifungo cha Sugu? Hapa usilisemee kundi lako bali nafsi yako.

Nimalize kwa kusema kuwa,ukiachilia mbali CV ya Prof. Mwandosya..........anayo haki ya kutoa maoni yake kama mwananchi mwingine. Tusiishi kwa fitina na kutafutiana makosa. Mwacheni mzee wa watu
 
Reactions: o_2
Dragoon: Mbona hamtutajii sasa hilo kosa la jinai alilofanya Sugu? Kwani kama ni tusi halina jibu? Hivi yule hakimu yuko wapi maana nasikia alitoweka mara tu baada ya kusoma hukumu. Kwani mlienda kumficha wapi? Tunajua Lipumba mlimpeleka Rwanda na mzee wa mihogo Dr. Slaa mkampeleka akale bata Canada. Huyu mmempeleka wapi?
 

Mkuu sema wew ndio unatumaini na Dr Tulia. Unazunguka zunguka nini. Unaogopa nini kusema hilo. Ndio mbinu zenu, mnaanza kampeni, au sio?
 
Pole sana kwa kuumizwa kwako. Inaonekana kwako upinzani sio watanzania. Na mtu akiwaunga mkono anakuwa mpungufu wa utanzania. Ama kweli Mungu ni mwaminifu kiasi ambacho ukiomba akupe akili za kipuuzi anakupa tu. Hana hiana kabisa
Kwa hiyo Sugu hakuwa kufungwa wa kisiasa kama wanavyodai. Hizo tuhuma tuhuma za kusema mkuu wa nchi alizisemea baa au kwenye mikutano wa kisiasa? Na je wakati anamtuhumu mfalme walikuwa na ugomvi wa binafsi au kwa mwamvuli wa kisiasa? Naomba jibu siyo matusi na kama huna jibu afadhali naomba usinijibu
 
KADA08: Kwa kweli wana CCM mnatukatisha tamaa sana kwa uelewa wenu finyu. Tunajiuliza inakuwaje tunawapa nchi watu wenye uelewa duni wa mambo kama huu? Kwa hiyo kwa akili yako unaamini kwamba hakimu aliyemsomea hukumu Mandela alisema " Unafungwa maisha kwa sababu ya siasa". Hivi kwa uelewa wako mtu kuwa mwanasiasa kama alivyokuwa mmandela
ni kosa la jinai? Hapo kilichofanyika ni kumtafutia kosa la jinai ili afungwe maana hakuna sheria itamfunga mtu eti kwa sababu ni mwanasiasa. Kwa kweli CCM ni adui wa maendeleo hasa ya kitaaluma na ufahamu wa mambo.
 
Mfungwa wa kisiasa ni mtu aliyefungwa jela kutokana na kujihusisha na shughuli ama imani za kisiasa. Hapa ndipo mtu kama Nelson Mandela anaitwa mfungwa wa kisiasa.
Kwa maneno yako mwenyewe Mwandosya yuko sahihi anaposema kuwa Sugu alikuwa ni mfungwa wa kisiasa kwa kuwa Makaburu nao walipomfunga Mandaela hawakusema kuwa wamemfunga kwa sababu za kisiasa walisema kuwa wamemfunga kama muharifu wa kosa la uhaini aliyetaka kuipindua serekali ya Makaburu lakini ukweli ulibaki palepale kuwa Mandela alifungwa kwa sababu za kisiasa.

Sawa na alivyofungwa Sugu kwa maana kuna watu wanatoa udenda kwa kulimendea Jimbo la Mbeya mjini utafikri hawajawahi kula tangu CCM izaliwe.
 
Kuna umri ukifika ukastaafu Ni vizuri kuendelea na Mambo mengine Kama kulea wewajukuu nk sio kuendelea na Yale uliyostaafia .Mwandosya umri umeenda Bado anaota siasa na wazee wenzie akna Sumaye

Ni upumbavu wa hali ya juu mkuu kufikiria kuwa siasa haipaswi kufanywa na wazee. Wewe unasema wazee wasifanye siasa, mkulu kakataza vijana wa chuoni wasifanye siasa, ccm mnataka watu wepi na wa rika lipi wafanye siasa? Toaka lini siasa zikafanywa kwa kubagua umri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…