ktk leo hii mpaka 2050 ni miaka 24 tu imebakia, uchumi wa tanzagiza leo hii ni <90 billion usd, uchumi unakuwa kwa wastani wa 5% not even a double digit, kwa hiyo kwa miaka 24 ijayo uchumi wa tanzagiza utrakuwa ni mara 10 ya wa leo? wakati tanzagiza haijawahi hata kufikia 10% economic growth?
huyo jamaa is crazy ...