Prof Kitila Mkumbo Kashindwa kujibu swali kuhusu mafisadi wanaomsapoti Lowasa

kumusoma

JF-Expert Member
Feb 3, 2014
566
889
Jana jion nilipita mitaa iliyo karibu na mliman city nikabahatika kumkuta Associate Prof Kitila mkumbo akinunua gazeti na huku akichambua mada mbalimbali kuhusu uchaguz mkuu.Prof mkumbo ambaye alisema anamuunga mkono Lowassa ili kuhakikisha kuwa CCM inaondoka Madarakan.Kuna mtaalam mmoja ambaye sikumfahamu jina ingawa alisema ni mtu wa finance alimuuliza prof mkumbo inakuaje matajir wa Tanzania wanatoa pesa nying kwa lowassa je hatazirudisha vp?Mkumbo alijibu swali hilo kama vile sio prof.Alisema wamejitolea tu.Mtaalam huyo alisema yy anavyojua matajiri hao hata kodi wanakwepa ,iweje watoe pesa nyingi kwa mgombea urais?Watu waliokuwepo hapo waliguna pale mkumbo aliporidia kusema kuwa wamejitolea tu na nikama social responsibility.Je,inakuwaje Prof anashindwa analysis vitu kama hivyo?Tutafika?
 
Jana jion nilipita mitaa iliyo karibu na mliman city nikabahatika kumkuta Associate Prof Kitila mkumbo akinunua gazeti na huku akichambua mada mbalimbali kuhusu uchaguz mkuu.Prof mkumbo ambaye alisema anamuunga mkono Lowassa ili kuhakikisha kuwa CCM inaondoka Madarakan.Kuna mtaalam mmoja ambaye sikumfahamu jina ingawa alisema ni mtu wa finance alimuuliza prof mkumbo inakuaje matajir wa Tanzania wanatoa pesa nying kwa lowassa je hatazirudisha vp?Mkumbo alijibu swali hilo kama vile sio prof.Alisema wamejitolea tu.Mtaalam huyo alisema yy anavyojua matajiri hao hata kodi wanakwepa ,iweje watoe pesa nyingi kwa mgombea urais?Watu waliokuwepo hapo waliguna pale mkumbo aliporidia kusema kuwa wamejitolea tu na nikama social responsibility.Je,inakuwaje Prof anashindwa analysis vitu kama hivyo?Tutafika?

Kuna analysis gani? Kwani kuna sheria ya kukataza matajiri wasichange? Au kuna sheria ya kikomo cha mtu kuchangia? Kama hakuna, basi Kitila hakuwa na sababu zozote za kufanya analysis yoyote kwa sababu Tanzania sio nchi ya masikini pekee yao.
 
Mbona mkuu Zaitun umejibu very simple sn?Kwa matajir wote Dunian ni ngumu sn kutoa pesa yao bila faida.Na ukisoma vitabu vingi vya uhasibu vinasema joint venture yeyote lazima iwe na benefit.Kuna matajir wanakwepa kodi sn ktk huo msururu wa lowassa leo wanasema wanamchangia lowassa ,obviously kuna benefit wanaitegemea.
 
Walitoa pesa zao wakati lowasa yuko katika mfumo wa ccm kwa kuamini zitarudi kirahisi.. Ila kwa sasa hawawezi kufanya hivyo kwa maana wanaogopa mfumo wa upinzani utaokuja hakuna shortcut ya kuchota pesa za watanzania.
 
. ...weka analysis yako basi , najua ukimkosoa msomi kisomi lazima uwe na hoja. Mashaka yako juu ya jibu la prof. unadhihirisha wazi unamtazamo wako unaoamini ndio sahihi. weka hapa jukwaani wapo wataalam na wasomi pia uchambuliwe.....
 
Jana jion nilipita mitaa iliyo karibu na mliman city nikabahatika kumkuta Associate Prof Kitila mkumbo akinunua gazeti na huku akichambua mada mbalimbali kuhusu uchaguz mkuu.Prof mkumbo ambaye alisema anamuunga mkono Lowassa ili kuhakikisha kuwa CCM inaondoka Madarakan.Kuna mtaalam mmoja ambaye sikumfahamu jina ingawa alisema ni mtu wa finance alimuuliza prof mkumbo inakuaje matajir wa Tanzania wanatoa pesa nying kwa lowassa je hatazirudisha vp?Mkumbo alijibu swali hilo kama vile sio prof.Alisema wamejitolea tu.Mtaalam huyo alisema yy anavyojua matajiri hao hata kodi wanakwepa ,iweje watoe pesa nyingi kwa mgombea urais?Watu waliokuwepo hapo waliguna pale mkumbo aliporidia kusema kuwa wamejitolea tu na nikama social responsibility.Je,inakuwaje Prof anashindwa analysis vitu kama hivyo?Tutafika?


Historia inaonesha kuwa vipindi fulani katika mstakabali wa nchi unalazimisha kupima nini ni janga zaidi ya jingine. Marehemu Samora Machel na Frelimo walikubali kutia saini Mkataba wa Nkomati wa ushirikiano na Makaburu kama mkakati wa kujinusuru na kutoa nafasi kukabiri janga kubwa kuliko zote wakati huo la kuondolewa serikali ya Frelimo na Renamo ikisaidiwa na Makaburu. Wakomunisti wa Afrika ya Kusini waliingia ubia na ANC ya mabwanyenye weusi ili kutokomeza kwanza ukaburu na mapambano na ubepari yaje baadaye. Katika Vita Kuu ya Dunia ya Pili wakomunisti walishirikiana na mabwenyenye wa mrengo wa kulia na kati kutokomeza janga kubwa zaidi wakati huo la ufashisti, yaani ubepari wa mrengo wa kulia kupitiliza. Hivyo hivyo mapambano ya kuleta uhuru wa Tanganyika yalivyo unganisha nguvu za mabwenyenye wazungu na waasia pamoja na zile za wakulima na wafanyakazi wa rangi zote kwa azimio lile la mkutano mkuu wa Tanu wa 1958 pale Tabora. Hivyo hivyo Mandela na ANC waliingia "urafiki wa mashaka" na De Clerk kiongozi wa Makaburu ili kuondolewa ukaburu kuwe kwa amani ya "kula matapishi" ya kuwalaani huko nyuma kuwa ni wabaya wa Mwaafrika!!

Mabadiliko ya haraka haraka yanayoendelea hapa Tanzania yenye lengo la kuondoa CCM madarakani kama chama dola kinachodumaza na kudhoofisha ushindani wa kisiasa miongoni mwa mabwenyenye wa tabaka tawala Tanzania ni mabadiliko yatakayoleta neema kwa Watanzania wote. Ile tu CCM kudhoofishwa na kujiunga UKAWA kwa Lowassa ni kuvuja kwa pakacha ambayo ni nafuu ya mchukuzi.....Nikuondoa kizingiti kikuu cha kushamiri kwa demokrasia pana na maendeleo endelevu Tanzania ambacho ni kuhodhiwa na ukiritimba wa chama dola cha CCM kinachojinadi kama chama cha mrengo wa kushoto wakati ni chama cha mrengo wa kulia kama vyama vyote vya siasa Tanzania kwa sasa.

Kumeguka kwa CCM-Mambo Leo kama taasisi ya kakundi ka wana mtandao ulioingiza serikali ya sasa ya Tanzania madarakani mwaka 2005, ni faraja kwa wote wenye kuitakia mema nchi hii na ni kiashiria cha kukomaa kwa vuguvugu la ukombozi wa pili wa Tanzania utakaochukua sura ya demokrasia zaidi ili kuwa na maendeleo endelevu zaidi yapatikane kupitia kupatikana nafasi chanya zaidi ya kupitishwa kwa Katiba Mpya kama ilivyopendekezwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza vyama vya siasa vya upinzani kiuhalisia (tofauti na vile ambavyo vimebebwa na watawala wa sasa kwa lengo la kuua upinzani wa kisiasa kijanja kijanja kama ACT- Wazalendo & ADC), sasa vimeunganishwa na kupigania Katiba Mpya iliyotokana na maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Jaji Warioba ( UKAWA) badala ya kuunganishwa na kutaka kuondoa CCM madarakani pekee.

Ghafla mwanasiasa mwenye nguvu nyingi ndani ya chama cha kifisadi cha CCM, mwanasiasa ambaye umaarufu wake umetokana na kuongoza mtandao uliouweka utawala wa sasa wa CCM madarakani, Ndugu Edward Lowassa, amekasirishwa na kukatwa jina lake na aliodhani ni rafiki zake ndani ya CCM na kuamua kusema basi na lolote liwe kwa kujiunga na vuguvugu la kupigania katiba mpya!! Naye sasa kang'amua kuwa Katiba ya sasa na ile Pendekezwa ni za ovyo maana haziruhusu kuwepo mgombea huru bila mizengwe. Hasira za Lowassa zimezaa tunda zuri la kug'amua kuwa Watanzania wanahitaji mabadiliko kupitia Katiba Mpya iliyobebwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba. Hasira hizi za mkizi ni furaha ya kunguru na ni busara kwa viongozi wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla kutoongopa "kula matapishi yao" kwa kumkaribisha Ndugu Lowassa...huyu huyu waliomwita fisadi... kujiunga na UKAWA na kugombea urais. Nafasi ya kihistoria imejitokeza ya kukiondoa CCM madarakani kwa amani!!

Sishangai wasaliti wa vuguvugu la kukiondoa CCM madarakani wanatushauri sisi Watanzania wenye shauku ya kuutumia upenyo huu wa mpasuko ndani ya CCM kukiondoa CCM madaraka!!! Eti tuombe radhi kwa" kula matapishi yetu" wote tulio wahi kumwita Lowassa fisadi! Wao wanataka tuendelee kuvumilia kutawaliwa na CCM labda kwa miaka mitano au zaidi hivi mpaka chama kipya cha watakatifu kiitwacho ACT-Wazalendo kitakapo kuwa tayari kututawala badala ya CCM!! Sishangai kusikia ushauri huu kutoka kwa wasaliti hawa ambao kazi yao hata huko nyuma imekuwa ni kuudhoofisha upinzani dhidi ya CCM na kukisaidia CCM kiendeleee kuwa madarakani!! Hawa jamaa ni wasomi sana na ni wajanja sana, ilo lazima kulikiri!!!

Sitashanga kama haya ninayoyasema yatapigwa madongo na wasaliti hawa!! Historia itakapoandikwa baada ya UKAWA kupata viti vingi zaidi Bunge lijalo au hata kuutwaa urais na kupata Katiba Mpya iliyobebwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba, itawapa hukumu yao stahiki, wajanja na welevu hawa! Bila shaka wanaoomba UKAWA ishindwe kupata viti vingi Bunge lijalo na iukose urais na hivyo tuendelee kutawaliwa na CCM na wao wapate viti vya kutosha kuwa viongozi wakuu wa eti upinzani muruwa wenye maadili ya Azimio la Arusha Tanzania!! Ni haki yao ya binadamu kuendelea na matumaini haya kama na sisi tulivyo na haki ya kuendelea na matumani yetu ya uwezekano wa ushindi mnono chini ya UKAWA dhidi ya ukiritimba wa chama kimoja chama dola cha CCM!

By Mwl.Lwaitama
 
Kuna kila dalili lowasa kuna watu wako nyuma yake wakimpa ushirikiano wa pesa jee ni kweli? na kama kweli kuna ajenda gani nyuma yake ? na ina manufaa gani kwa watanzania ambao wameamua kutokomeza ufisadi ?
 
Kuna analysis gani? Kwani kuna sheria ya kukataza matajiri wasichange? Au kuna sheria ya kikomo cha mtu kuchangia? Kama hakuna, basi Kitila hakuwa na sababu zozote za kufanya analysis yoyote kwa sababu Tanzania sio nchi ya masikini pekee yao.

Kweli muelekeo wa kampeni za uchaguzi umebadilka. Nashindwa kujua sera na ilani za CHADEMA itasema nini?
 
Historia inaonesha kuwa vipindi fulani katika mstakabali wa nchi unalazimisha kupima nini ni janga zaidi ya jingine. Marehemu Samora Machel na Frelimo walikubali kutia saini Mkataba wa Nkomati wa ushirikiano na Makaburu kama mkakati wa kujinusuru na kutoa nafasi kukabiri janga kubwa kuliko zote wakati huo la kuondolewa serikali ya Frelimo na Renamo ikisaidiwa na Makaburu. Wakomunisti wa Afrika ya Kusini waliingia ubia na ANC ya mabwanyenye weusi ili kutokomeza kwanza ukaburu na mapambano na ubepari yaje baadaye. Katika Vita Kuu ya Dunia ya Pili wakomunisti walishirikiana na mabwenyenye wa mrengo wa kulia na kati kutokomeza janga kubwa zaidi wakati huo la ufashisti, yaani ubepari wa mrengo wa kulia kupitiliza. Hivyo hivyo mapambano ya kuleta uhuru wa Tanganyika yalivyo unganisha nguvu za mabwenyenye wazungu na waasia pamoja na zile za wakulima na wafanyakazi wa rangi zote kwa azimio lile la mkutano mkuu wa Tanu wa 1958 pale Tabora. Hivyo hivyo Mandela na ANC waliingia "urafiki wa mashaka" na De Clerk kiongozi wa Makaburu ili kuondolewa ukaburu kuwe kwa amani ya "kula matapishi" ya kuwalaani huko nyuma kuwa ni wabaya wa Mwaafrika!!

Mabadiliko ya haraka haraka yanayoendelea hapa Tanzania yenye lengo la kuondoa CCM madarakani kama chama dola kinachodumaza na kudhoofisha ushindani wa kisiasa miongoni mwa mabwenyenye wa tabaka tawala Tanzania ni mabadiliko yatakayoleta neema kwa Watanzania wote. Ile tu CCM kudhoofishwa na kujiunga UKAWA kwa Lowassa ni kuvuja kwa pakacha ambayo ni nafuu ya mchukuzi.....Nikuondoa kizingiti kikuu cha kushamiri kwa demokrasia pana na maendeleo endelevu Tanzania ambacho ni kuhodhiwa na ukiritimba wa chama dola cha CCM kinachojinadi kama chama cha mrengo wa kushoto wakati ni chama cha mrengo wa kulia kama vyama vyote vya siasa Tanzania kwa sasa.

Kumeguka kwa CCM-Mambo Leo kama taasisi ya kakundi ka wana mtandao ulioingiza serikali ya sasa ya Tanzania madarakani mwaka 2005, ni faraja kwa wote wenye kuitakia mema nchi hii na ni kiashiria cha kukomaa kwa vuguvugu la ukombozi wa pili wa Tanzania utakaochukua sura ya demokrasia zaidi ili kuwa na maendeleo endelevu zaidi yapatikane kupitia kupatikana nafasi chanya zaidi ya kupitishwa kwa Katiba Mpya kama ilivyopendekezwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza vyama vya siasa vya upinzani kiuhalisia (tofauti na vile ambavyo vimebebwa na watawala wa sasa kwa lengo la kuua upinzani wa kisiasa kijanja kijanja kama ACT- Wazalendo & ADC), sasa vimeunganishwa na kupigania Katiba Mpya iliyotokana na maoni ya wananchi yaliyokusanywa na Tume ya Jaji Warioba ( UKAWA) badala ya kuunganishwa na kutaka kuondoa CCM madarakani pekee.

Ghafla mwanasiasa mwenye nguvu nyingi ndani ya chama cha kifisadi cha CCM, mwanasiasa ambaye umaarufu wake umetokana na kuongoza mtandao uliouweka utawala wa sasa wa CCM madarakani, Ndugu Edward Lowassa, amekasirishwa na kukatwa jina lake na aliodhani ni rafiki zake ndani ya CCM na kuamua kusema basi na lolote liwe kwa kujiunga na vuguvugu la kupigania katiba mpya!! Naye sasa kang'amua kuwa Katiba ya sasa na ile Pendekezwa ni za ovyo maana haziruhusu kuwepo mgombea huru bila mizengwe. Hasira za Lowassa zimezaa tunda zuri la kug'amua kuwa Watanzania wanahitaji mabadiliko kupitia Katiba Mpya iliyobebwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba. Hasira hizi za mkizi ni furaha ya kunguru na ni busara kwa viongozi wa CHADEMA na UKAWA kwa ujumla kutoongopa "kula matapishi yao" kwa kumkaribisha Ndugu Lowassa...huyu huyu waliomwita fisadi... kujiunga na UKAWA na kugombea urais. Nafasi ya kihistoria imejitokeza ya kukiondoa CCM madarakani kwa amani!!

Sishangai wasaliti wa vuguvugu la kukiondoa CCM madarakani wanatushauri sisi Watanzania wenye shauku ya kuutumia upenyo huu wa mpasuko ndani ya CCM kukiondoa CCM madaraka!!! Eti tuombe radhi kwa" kula matapishi yetu" wote tulio wahi kumwita Lowassa fisadi! Wao wanataka tuendelee kuvumilia kutawaliwa na CCM labda kwa miaka mitano au zaidi hivi mpaka chama kipya cha watakatifu kiitwacho ACT-Wazalendo kitakapo kuwa tayari kututawala badala ya CCM!! Sishangai kusikia ushauri huu kutoka kwa wasaliti hawa ambao kazi yao hata huko nyuma imekuwa ni kuudhoofisha upinzani dhidi ya CCM na kukisaidia CCM kiendeleee kuwa madarakani!! Hawa jamaa ni wasomi sana na ni wajanja sana, ilo lazima kulikiri!!!

Sitashanga kama haya ninayoyasema yatapigwa madongo na wasaliti hawa!! Historia itakapoandikwa baada ya UKAWA kupata viti vingi zaidi Bunge lijalo au hata kuutwaa urais na kupata Katiba Mpya iliyobebwa ndani ya Rasimu ya Pili ya Tume ya Rais iliyoongozwa na Jaji Warioba, itawapa hukumu yao stahiki, wajanja na welevu hawa! Bila shaka wanaoomba UKAWA ishindwe kupata viti vingi Bunge lijalo na iukose urais na hivyo tuendelee kutawaliwa na CCM na wao wapate viti vya kutosha kuwa viongozi wakuu wa eti upinzani muruwa wenye maadili ya Azimio la Arusha Tanzania!! Ni haki yao ya binadamu kuendelea na matumaini haya kama na sisi tulivyo na haki ya kuendelea na matumani yetu ya uwezekano wa ushindi mnono chini ya UKAWA dhidi ya ukiritimba wa chama kimoja chama dola cha CCM!
Naona umekopi na kupesti makala ya Dr. Lwaitama kama ilivyo hata bila kutoa credit. Safi sana!
 
The boss hivi lowassa tu huna agenda nyingine? Tumewachoka lowassa mmemkataa mwacheni baba Wa watu apumzike kwani magufuri sio fisadi kila MTU anaujua ufisadi wake
 
Kuna analysis gani? Kwani kuna sheria ya kukataza matajiri wasichange? Au kuna sheria ya kikomo cha mtu kuchangia? Kama hakuna, basi Kitila hakuwa na sababu zozote za kufanya analysis yoyote kwa sababu Tanzania sio nchi ya masikini pekee yao.
Watu wanaongea kwa hisia tu ,nani mwenye ushahidi kwamba matajiri wanampa hela Lowwasa? na wamesain contract ya kuarefunded? , Vitu vingine hata akilini haviingii.Ondoa CCM 25TH OCTOBER
 
Kweli muelekeo wa kampeni za uchaguzi umebadilka. Nashindwa kujua sera na ilani za CHADEMA itasema nini?

Kama apokea pesa, je zinakwenda wapi? Sina anawanunulia fulana na kofia wapiga kura na kukamilisha mzunguko wa transaction pesa?
 
Watu wanaongea kwa hisia tu ,nani mwenye ushahidi kwamba matajiri wanampa hela Lowwasa? na wamesain contract ya kuarefunded? , Vitu vingine hata akilini haviingii.Ondoa CCM 25TH OCTOBER

Hicho ndicho ninachokiona. Siku zote katika siasa unaposhindwa kutekeleza majukumu yako, basi tafuta mtu wa kumtupiwa lawama. Miaka ya zamani walikuwa wanalaumu wakoloni, wazungu, makaburu. Sasa wanalaumu matajiri wakati CCM ndio wanaovuta hewa yote chumbani.
 
Jana jion nilipita mitaa iliyo karibu na mliman city nikabahatika kumkuta Associate Prof Kitila mkumbo akinunua gazeti na huku akichambua mada mbalimbali kuhusu uchaguz mkuu.Prof mkumbo ambaye alisema anamuunga mkono Lowassa ili kuhakikisha kuwa CCM inaondoka Madarakan.Kuna mtaalam mmoja ambaye sikumfahamu jina ingawa alisema ni mtu wa finance alimuuliza prof mkumbo inakuaje matajir wa Tanzania wanatoa pesa nying kwa lowassa je hatazirudisha vp?Mkumbo alijibu swali hilo kama vile sio prof.Alisema wamejitolea tu.Mtaalam huyo alisema yy anavyojua matajiri hao hata kodi wanakwepa ,iweje watoe pesa nyingi kwa mgombea urais?Watu waliokuwepo hapo waliguna pale mkumbo aliporidia kusema kuwa wamejitolea tu na nikama social responsibility.Je,inakuwaje Prof anashindwa analysis vitu kama hivyo?Tutafika?

Jibu hilo linahitaji analysis gani kama wewe sio kilaza?
 
Jana jion nilipita mitaa iliyo karibu na mliman city nikabahatika kumkuta Associate Prof Kitila mkumbo akinunua gazeti na huku akichambua mada mbalimbali kuhusu uchaguz mkuu.Prof mkumbo ambaye alisema anamuunga mkono Lowassa ili kuhakikisha kuwa CCM inaondoka Madarakan.Kuna mtaalam mmoja ambaye sikumfahamu jina ingawa alisema ni mtu wa finance alimuuliza prof mkumbo inakuaje matajir wa Tanzania wanatoa pesa nying kwa lowassa je hatazirudisha vp?Mkumbo alijibu swali hilo kama vile sio prof.Alisema wamejitolea tu.Mtaalam huyo alisema yy anavyojua matajiri hao hata kodi wanakwepa ,iweje watoe pesa nyingi kwa mgombea urais?Watu waliokuwepo hapo waliguna pale mkumbo aliporidia kusema kuwa wamejitolea tu na nikama social responsibility.Je,inakuwaje Prof anashindwa analysis vitu kama hivyo?Tutafika?

Toa orodha ya matajiri wanaompa pesa Lowasa.
 
The boss hivi lowassa tu huna agenda nyingine? Tumewachoka lowassa mmemkataa mwacheni baba Wa watu apumzike kwani magufuri sio fisadi kila MTU anaujua ufisadi wake

hivi gharama ya kukodi ndege ya serikali anayoitumia magufuli no sh. ngapi kwa SAA? jamaa wa idara alituambia 148,000,000 kwa saa sijui km alikosea ama la. if that is the case, nani analipia hizo gharama? CCM au wenye mapenzi mema na CCM? tusijivishe makengeza, tutembee kwenye mstari wa ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom