CURIOSITY_200
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 320
- 260
Hili jamaa litakupotezea nda bure, waambie watoe ripoti zote 2, vinginevyo this sense ' professorial rubbish ' TLHizo ripoti zenyewe mnaficha hata wabunge mnashindwa kuwapa!
Madai mengine ACACIA wametujibu mpaka aibu alafu sijui mnajisifu nini!
Hii ni shule kubwa sana, I like the logic, sukuri tani 500 imepakiwa kwenye gari la tani 3 lakini bado mazuzu yanashangiliaDollar billion 80 ndizo report za wataalam unaowaamini wewe walitamka, tena wakasema kwa kiwango cha chini. Wewe unasema inaweza kuwa dollar billion 10. Lakini wenye ufahamu wa sekta hii, tunasema kuwa hakuna hata billion moja (1) tutakayoipata. Kama hutaki kuamini, kaa usubiri, muda ni muamuzi mzuri.
Kilichofanywa na kamati ya Mruma ni sawa na kumwambia mtu kuwa kuna mahali umetokea wizi wa tani 500 za sukari. Halafu mtu akaja kukuambia kuwa mwizi tumemkamata akiwa amepakia sukari tani 500 kwenye lorry lake lenye uwezo wa kubeba tani 3. Wenye uelewa watajua ni upuuzi, wajinga watashangilia kuwa kazi kubwa imefanyika kwa kumkamata mwizi na sukari yote iliyoibiwa.
Sasa ndugu yangu JokaKuu, hiyo miswada iliyopelekwa bungeni nayo inahusu hayo mapanki tu?! Punguza mahaba ndugu yangu!..yaliyozuiwa ni "mapanki", wakati "minofu" inaendelea kusafirishwa.
msomi akishateuliwa serikalini tayari anaacha usomi wake pembeni. anajuaje hatutashitakiwa?
Sasa ndugu yangu JokaKuu, hiyo miswada iliyopelekwa bungeni nayo inahusu hayo mapanki tu?! Punguza mahaba ndugu yangu!
Hapo sasa .... kama hawawezi kutushtaki kwa nini tusiwashtaki!!?msomi akishateuliwa serikalini tayari anaacha usomi wake pembeni. anajuaje hatutashitakiwa?
Mbona una hasira sana ndugu?Ni wezi au si wezi??? Do you negotiate with thieves?? Wamesajiliwa au hawajasajiliwa? Do you negotiate with illegal business entities??? Ongeeni vitu vinavyo make sense....
Hujui ukisemacho, subiria matokeo.Hilo lipo wazi hatuwezi kushitakiwa kwa kuwa hiyo miswada iliyopelekwa Bungeni haivunji Mikataba mibovu iliyosainiwa hapo awali na mikataba hiyo ndio inayowanufaisha Barik na hao ACACIA bila kusahau na CCM. Kama hiyo miswada ingeonyesha kuvunjwa kwa hiyo mikataba ya zamani sidhani kama huyu Paramagamba angekuja na kauli hii.
TATIZO NYIE KWA KUSHABIKIA UJINGA MNASHINDWA KUELEWA HAYO MAIGIZO YANAYOFANYIKA.
Inashangaza sana! Mwizi ni wa kupelekwa mahakamani! SAA hii wangekuwa wamesimamishwa kufanya shughuli yoyote maana hawajasajiliwa! Mwizi akiwa anajua amekuibia halafu unataka kujadiliana naye sijui anakuonaje? Accasia walitegemea kushitakiwa, kinyume chake tunataka kujadiliana Nao!Ni wezi au si wezi??? Do you negotiate with thieves?? Wamesajiliwa au hawajasajiliwa? Do you negotiate with illegal business entities??? Ongeeni vitu vinavyo make sense....
Siku Brela watakaponionesha usajili wa kampuni ya Coca-Cola au Pepsi ndio nitaamini taarifa ya Prof Mruma. Badala yake utakutana na Kwanza limited, Bonite Botlers na Nyanza.Inashangaza sana! Mwizi ni wa kupelekwa mahakamani! SAA hii wangekuwa wamesimamishwa kufanya shughuli yoyote maana hawajasajiliwa! Mwizi akiwa anajua amekuibia halafu unataka kujadiliana naye sijui anakuonaje? Accasia walitegemea kushitakiwa, kinyume chake tunataka kujadiliana Nao!
Anapiga ramlimsomi akishateuliwa serikalini tayari anaacha usomi wake pembeni. anajuaje hatutashitakiwa?
Umesikia wapi?Mbona nasikia acacia wametushitaki?