Prof. Kabudi: Watanzania tuache uoga, hakuna atakayeshitakiwa na ACACIA

Hizo ripoti zenyewe mnaficha hata wabunge mnashindwa kuwapa!

Madai mengine ACACIA wametujibu mpaka aibu alafu sijui mnajisifu nini!
Hili jamaa litakupotezea nda bure, waambie watoe ripoti zote 2, vinginevyo this sense ' professorial rubbish ' TL
 
Hii ni shule kubwa sana, I like the logic, sukuri tani 500 imepakiwa kwenye gari la tani 3 lakini bado mazuzu yanashangilia
 
Sasa ndugu yangu JokaKuu, hiyo miswada iliyopelekwa bungeni nayo inahusu hayo mapanki tu?! Punguza mahaba ndugu yangu!

..hapo nilikuwa najibu a specific question.

..ulitakiwa usome kwanza niliyemjibu alikuwa amesema nini.

..kwangu mimi dhararu ni mikataba iliyoko sasa hivi ambayo inatuumiza, siyo miswada iliyopelekwa bungeni.
 
Huyu profesa anajichanganya! Bila shaka amechanganyikiwa! Ni kweli accasia hawawezi kutushitaki kwa sababu tumeamua kutokugusa mikataba yao! Huyu profesa ameshasema sheria MPYA haiwahusu wawekezaji waliopo.
Huyu profesa ninamwuliza kwa nini asiamue kuvunja mikataba yote na accasia kama kweli ana ushahidi kuwa wanatuibia?
Toa kauli ya kuvunja mikataba, hiyo ndiyo kauli pekee inayokubalika!
 
Ni wezi au si wezi??? Do you negotiate with thieves?? Wamesajiliwa au hawajasajiliwa? Do you negotiate with illegal business entities??? Ongeeni vitu vinavyo make sense....
Mbona una hasira sana ndugu?
 
Hujui ukisemacho, subiria matokeo.

Kauli ya yule muoga wa kwanza ilikuwa tutashitakiwa tutashindwa na tutalipishwa mapesa mengi.
 
Ni wezi au si wezi??? Do you negotiate with thieves?? Wamesajiliwa au hawajasajiliwa? Do you negotiate with illegal business entities??? Ongeeni vitu vinavyo make sense....
Inashangaza sana! Mwizi ni wa kupelekwa mahakamani! SAA hii wangekuwa wamesimamishwa kufanya shughuli yoyote maana hawajasajiliwa! Mwizi akiwa anajua amekuibia halafu unataka kujadiliana naye sijui anakuonaje? Accasia walitegemea kushitakiwa, kinyume chake tunataka kujadiliana Nao!
 
Siku Brela watakaponionesha usajili wa kampuni ya Coca-Cola au Pepsi ndio nitaamini taarifa ya Prof Mruma. Badala yake utakutana na Kwanza limited, Bonite Botlers na Nyanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…