Watanitafuta wengi..ni bora aseme wazi ili wenye shida km yangu nao wafaidike...aelekeze aliko..biashara matangazo
Kwa case hizo mbili ni mapema sana kusema ni tatizo. Yawezekana ni defaults za kawaida za electronic devices sababu waliwapa warranty traditionally maana yake ni kuwa wanajiamini ladda kama zina life span hivyo wanajua baada ya mwaka zitasumbua amabayo sidhani kwa muwekezaji mwenye jina kama hilo anaweza kukubali kujikwamisha kizembe kiasi hicho
I have one since 2010 na inafanya kazi vizuri tena resolution ni safi kuliko sony(ambayo natumia mimi)
Mlipokwenda waliwaaambia chanzo ni nini,maana uliambiwa imengia maji na hujakanusha sasa kama kweli hapo wa kulaumiwa ni nani??!!!
Kwa wataalamu watujuze matatizo hayo husababishwa na nini maana hata kwenye laptops huwa yanatokea
Habari wana jamvi..mm nilinunua katv haka ka 22" kwa ajili ya chumbani...nilikanunua mwezi wa 11 mwaka 2011ghafla mwaka 2012 julai kakagoma kuonyesha...bahati mbaya sina warrant...tatizo lake ni kuwa kanaongea lkn picha screen ni whit tupu....halafu nakapenda mno...nilikwenda Samsung freedom electronic pale jmall nikaambiwa eti kameingia maji kwa hiyo inabidi niwekewe screen nyingine..bei ya screen ni laki2 na bado ufundi..aisee nilichoka..nikakaweka uvunguni nikaamua kwenda kununua tv ya kichogo mpya ya Samsung nikaweka chumbani...ila sasa ni mwaka tv yangu naionea huruma kukaa uvunguni...nisaidieni niende kwa fundi gani.?...na je bei ya screen mpya ndo hiyo? Na ufundi bei gani maana nilivyopiga hesabu km screen ni laki2 na ufundi bado si itafika lk 3...ndio maana nikaamua kwenda kununua mpya cz niliogopa nisije tupa hela halafu wakaniwekea kioo used..mwsho wa siku kiniharibikie...msaada mwenye kujua nifanyeje