Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadra
Mimi best yangu aliahirisha PCB akarudia alikula 4 PCB akaenda china.....sasa Bingwa hapa nchini.....strategies hasa Bios inaua usipokuwa makini.....nimeshangaa PCB wameongoza huwa PCM zaidi Bios ni nyoko huwa A nadra
Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.
Kwa kweli ila me naona ukijipanga vizuri PCB unatoboa vizuri, pia inawezekana huyo jamaa alikuaga vizuri ila akufanya mtihani ndio akaamua kuridia na imemlipa.