MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,700
- 71,114
Azikwe tu hivyohivyo maana hakuna namnaDuh!mkwepa kodi imeisha thibitika kuwa comrade kavuta?aliniacha hoi kuwapa mashamba chimulenga(veterans wa vita)hawana uwezo wa kulima ndipo mambo yalipo anza kwenda kombo waqt fulani Zimbabwe dola ilikuwa inalingana na usd sasa imebaki historia.
Mbona BBC hawajaripoti? Acheni uzzush
Hata BBC wanapata taarifa hapa JFMpaka leo hujagundua JF ni zaidi ya BBC kwa habari za Afrika na Waafrika?
JF Ina Waandishi karibu dunia yote.Hata BBC wanapata taarifa hapa JF
BBC ndo kidudu gani?..mpaka wazungu waseme ndo uaminMbona BBC hawajaripoti? Acheni uzzush
Taratibu mkwepa kodi jamani atazikwa vipi waqt u hai?Azikwe tu hivyohivyo maana hakuna namna
Hii si mara ya kwanza Rais Mugabe kuzushiwa KIFO!!.Mbona BBC hawajaripoti? Acheni uzzush
Kwan magazeti ya udaku yanasema uongo.swala wao ni wa mbea tu lakin taarifa za kwelHii Habari imeripotiwa na magazeti ya udaku ya UK
1. Internationakl Businesstimes UK
2. Daily Ex[press
Donald Trump kamroga tu.