golden pride
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 847
- 435
- Thread starter
-
- #21
Kuna watu wanaudhi, kitu kama huna ishu nacho sio lazima ukomenti. Hii ni biashara,anaweza akatokea mtu akasema mimi nina ya kiasi fulani, kikubwa cha hiyo mkakubaliana, ukaipenda, halafu ukampa ulichonacho, halafu mnamalizana. Mimi nilimuuzia mtu humu humu jf pajero, na alinilipa kwa awamu tatu ndani ya miezi miwili. Ni makubaliano tu.Tatizo wabongo wamekariri kupigwaa...we kama unaona pesa ndogo..tulia na upitee iviii...wapo watakaofika hiyo bei..nasisitiza wapo na siyo yupo.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu pesa hiyo c unapata hata range rover kali sana
Kuna watu wanaudhi, kitu kama huna ishu nacho sio lazima ukomenti. Hii ni biashara,anaweza akatokea mtu akasema mimi nina ya kiasi fulani, kikubwa cha hiyo mkakubaliana, ukaipenda, halafu ukampa ulichonacho, halafu mnamalizana. Mimi nilimuuzia mtu humu humu jf pajero, na alinilipa kwa awamu tatu ndani ya miezi miwili. Ni makubaliano tu.
Mkuu kuna corona premio, acha hiyo namaanisha toleo lililofuatia, na ni used ya mkononi ya mtu, kama hiiacha ujuaji wewe premio NEW MODEL 2017 version unajua CIF yake dola ngapi?, labda huyu jamaa asiwe anamaanisha NEW MODEL.
Mkuu kuna corona premio, acha hiyo namaanisha toleo lililofuatia, na ni used ya mkononi ya mtu, kama hii
Ndio hii mkuukama hiyo kwa mil 8 utapata, ila usiwe na pupa
Njoo inboxbado mahitaji yapo
mkuu nimekuja pm,umepoteaNjoo inbox