Prado land cruser inauzwa bei nzuri

Prado land cruser inauzwa bei nzuri

Wakuu kwa mazingira niliyopo picha ni ngumu kidogo ila habari ni ya kweli fuatilia namba ya mawasiliano
 
Toyota la mwaka gani ? Km ngapi limetembea,rangi ya gari na bei pia..matangazo ya aina yako ni ya pk pk aina ya boxer au sunlg..
 
Ni kweli mi sio mtaalamu sana wa matangazo. Ila mtanzania usiwe mwoga piga simu mambo mengine yote utajibiwa hapo mi natafuta watu sereous
 
Ni kweli mi sio mtaalamu sana wa matangazo. Ila mtanzania usiwe mwoga piga simu mambo mengine yote utajibiwa hapo mi natafuta watu sereous

Mkuu bora unywe maji ukalale tu! kwa namna ulivyoweka bandiko lako nakuonea huruma sana.
 
Mimi nimevutiwa na hili tangazo lako.,lakini kwa nini unakuwa na kichwa kigumu kuweka bei,picha ya gari lako tulione kama ulivyoshauriwa na wadau hapo juu? Ndipo sasa mtu atakutafutafuta kupitia mawasiliano yako vinginevyo unatwanga maji ktk kinu.
 
Ni kweli mi sio mtaalamu sana wa matangazo. Ila mtanzania usiwe mwoga piga simu mambo mengine yote utajibiwa hapo mi natafuta watu sereous

Kama biashara yako ya simu katume zile sms za mafungu.
Hama jukwaa
 
Mng'ato jamaa kanicopy ila yake kaibadilisha kwa picha yeye kataka bei, mtandao kaita mitandao. Not multiple IDs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom