Huyo atakua mkarimu sana akinipa nitamshukuru sana na kumuonyesha duaje mtu akikupatia milion 5 ili umalize tatizo lako?
Umeulizwa je mbona liko garage?Huyo atakua mkarimu sana akinipa nitamshukuru sana na kumuonyesha dua
Mbona hujibu haya maswali? Uwiano wa number A na km!Huyo atakua mkarimu sana akinipa nitamshukuru sana na kumuonyesha dua
nauza Suzuki swift namba C, mil 5.3, ukiitaka piga namba 0713674291
je mtu akikupatia milion 5 ili umalize tatizo lako?
Kama wewe na huyo mwenzio mmeliona lipo garage nenda nae mtalikutaUmeulizwa je mbona liko garage?
Umeongea pointNamba A huku ina km 85000 ilikuwa inasafiri kwenda kanisani siku za jumapili tu?
Au lipia 5milion unipe na gari moja kati ya haya (raum, ist, wish, gx110)
Gari ni Prado
Automatic
Turbo, Diesel
85,000km,
Bei sh milion 16, ukiinunua Unaichukua haidaiwi
Haina tatizo lolote njoo na fundi kagua Gari chukua mchuma
Sababu ya kuuza ni uhitaji wa 5milion haraka.