kidonge ki1
Member
- Mar 1, 2012
- 15
- 3
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF
Nadhani hamkunijibu TROPICAL n MPUI,na badala yake n kashfa dhid ya Pr.Abdallah unaposema yeye n mbebaji wa mabeg ya mabosi,na ukumbuke Abdallah ni Prof.na n mtu mwenye uwelewa mkubwa hvyo usimgeuze kama TOY kwa jinsi TROPICAL uwezo wako wakufikir ulipofikia,,wanajamv mwenye kuelewa achangie na wenye kashfa watulie,hapa ni sehem ya kujuzwa pia
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF
Nyie sikieni ushindi tu ndio mjue Prof safari yuko wapi ,unafikiri ni kupayuka payuka
Si utaona mkuu ataishia kubeba mabegi ya maboss wake kama kawawa kwa nyerinyeri; that is maximum they can offer him..akitaka kufurukuta atapewa yale majina yetu (mamluki, mdini, mnafiki etc) ili mradi asiseme abaki msaidizi; siyo yeye tu hata Zitto maximum they can offer ni Naibu katibu mkuu; zaidi ya hapo anahatarisha uanachama wake kwenye chama chetu..
Chadema huwa haipendi watu kama prof safari,zitto mwenyewe wanaishi nae kwa tabu tabu
Hatakiwi anatengeneza tu balance fulani ili chama chetu kisionekane ni cha udini...by the way anatakiwa kubeba mabegi ya maboss wake kama alivyofanya kawawa kwa nyerinyeri
Wana jamv kwanza nawasalim aman ya mungu wetu iwe juu yenu,hivi Pr.Abdallah mbona kama kitambo sikumsikia mwenye habari kuhusu yeye na nafasi aliyonayo ndani ya CDM naomba an fafanunulie n sehem ya kujua pia usichokijua JF
Kwisha habari yake... KWISHNEY