don't ever crack your head when it comes of aptitude test...endelea na mishe zako kama kawa na wala huna haja ya kusoma chochote. wakati ukifika, nenda! hata ukibeba calculator ni kujiongezea mizigo tu isiyo na sababu.
Aptitude test zinakuaga hazina maandalizi. Zina pima uwezo na upeo wa mtu alionao. Wana anagalia jinsi mtu anavyo fikiria kwa haraka under high pressure situations. So kama tayari hauna huo upeo sasa huwezi kuupata ndani ya siku kadhaa. Aptitude is something build over time. Ni kama common sense vile.