Pole sana mkuu hapa ndio umuhimu wa Bima kubwa unapokuja. Usingekuwa unaangaika kutafuta hizo spareparts, sasa hivi ungekuwa unasubiri kupigiwa simu na watu wa bima kwenda kuchukua gari yako ikiwa tayari. Hiyo 4M utakayolipia spare ungelipa bima ya zaidi ya miaka 5.