X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Marehemu Mzee Mwinamila (Mzee Saleh Ramadhan Mwinamila), alikuwa ni kiongozi wa kikundi cha ngoma, kilichojulikana kwa jina la 'Hiari ya Moyo'. Iki kikundi kilianzishwa mwishoni mwa miaka ya 1950, nazani mwaka 1957 kama nakumbuka historia vizuri. Na ni ngoma za kabila la watu wa Tabora (Wanyamwezi). Iki kikundi kilikuwa kama kikundi cha kitaifa, serikali ndio walikuwa wakiwapa pesa na kikitumbuiza kwenye dhifa mbali mbali za kitaifa.Naombeni mnikukmbushe, hivi mzee mwinamila alikua nani vilee, hilo jina nalikumbuka.