A.H.J.Nyangassa
New Member
- Mar 1, 2015
- 1
- 0
naombeni msaada juu ya post za vyuo vya afya kama zimeshatoka au bado, na je? nawezaje kujua password niliyoisahau katika profile tulizofungua wakati wa kuapply katika vyuo hivyo
naombeni msaada juu ya post za vyuo vya afya kama zimeshatoka au bado, na je? Nawezaje kujua password niliyoisahau katika profile tulizofungua wakati wa kuapply katika vyuo hivyo
ndugu yangu hivi mliomba lini na mwisho wakuaply lini namim nataka niombe
Naomba msaada kwa yeyote anaejua utaratibu juu ya kujiunga kozi za afya kwa mwaka huu...maombi yanaanza lini na mwisho lini nanamna yakufanya maombi
hauwezi kuwa considered mjomba wakati tayari wao wameshakuchagua kozi ya ualimu, lazima wakuteme hata kama unasifa so ni bora usepe tu utichaWakuu,
Hivi kama mtu amepewa post ya diploma ya ualimu wa primary hataki kwenda. Je kuna uwezekano wa ha NACTE kumconsider atakapo apply kozi za afya hata kama vigezo anavyo?