Poso tanzania

Poso tanzania

Click Hapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
479
Reaction score
206
Habari za leo wadau wa jukwaa hili.
Wadau naomba ushauri kwa mwenye kuitambua taasisi hii.
Taasisi hii kwa sasa inaendesha semina mbalimbali maeneo mbalimbali ya nchi hii na kwa sasa wawezeshaji wa taasisi hii wapo jijini Mwanza.
Nimeudhuria semina yao leo kauli mbiu yao ni "sababisha mapinduzi ya uchumi na poso"
Wanasema ukijiunga nao basi utafaidi huduma na fursa za uwekezaji na uwezeshaji wa kiuchumi na ajira, kwamba ukijiunga nao utapata dhamana ya kuwezeshwa mtaji.
Taasisi hii pia inaundwa na taasisi ya fedha inayojulikana kwa jina la Bega kwa bega microfinance Co. ltd
Kwenye semina zao watu hawa wameambatana na wasanii maarufu hapa nchini kama JB, Mzee Majuto na mtangazaji maarufu wa East Africa Radio jina ni Zembwela.
Wana habari zinazovutia sana kwa mtu kujiunga nao.
Mojawapo ya suala wanalosisitiza pamoja na mambo mengine ni kununua shares zao ili nawe uwe mmiliki ktk taasisi hiyo.
Msaada ninaowaomba wadau, kwa yeyote mwenye kutambua vizuri taasisi hii asaidie ili isijekuwa ni DESI nyingine hii imekuja kwa style ya aina yake.
Angalieni moja ya vipeperushi vyao.
 

Attachments

  • 1420568432429.jpg
    1420568432429.jpg
    43.1 KB · Views: 373
Habari za leo wadau wa jukwaa hili.
Wadau naomba ushauri kwa mwenye kuitambua taasisi hii.
Taasisi hii kwa sasa inaendesha semina mbalimbali maeneo mbalimbali ya nchi hii na kwa sasa wawezeshaji wa taasisi hii wapo jijini Mwanza.
Nimeudhuria semina yao leo kauli mbiu yao ni "sababisha mapinduzi ya uchumi na poso"
Wanasema ukijiunga nao basi utafaidi huduma na fursa za uwekezaji na uwezeshaji wa kiuchumi na ajira, kwamba ukijiunga nao utapata dhamana ya kuwezeshwa mtaji.
Taasisi hii pia inaundwa na taasisi ya fedha inayojulikana kwa jina la Bega kwa bega microfinance Co. ltd
Kwenye semina zao watu hawa wameambatana na wasanii maarufu hapa nchini kama JB, Mzee Majuto na mtangazaji maarufu wa East Africa Radio jina ni Zembwela.
Wana habari zinazovutia sana kwa mtu kujiunga nao.
Mojawapo ya suala wanalosisitiza pamoja na mambo mengine ni kununua shares zao ili nawe uwe mmiliki ktk taasisi hiyo.
Msaada ninaowaomba wadau, kwa yeyote mwenye kutambua vizuri taasisi hii asaidie ili isijekuwa ni DESI nyingine hii imekuja kwa style ya aina yake.
Angalieni moja ya vipeperushi vyao.




POSO Tanzania sio taasisi ni ofisi ya kituo cha uwezeshaji wananchi kiuchumi. na Bega kwa bega microfinance ni kampuni inayomilikiwa na wananchi wa Mwanza.
Poso inawawezesha wananchi kubuni miradi, kuianzisha, kuisimamia wao wenyewe. Poso haipokei fedha wala haina account Bali inawaunganisha wadau wake na makampuni mbalimbali yaliyo ndani na nje ya mfumo wao wa utajirishaji.
Poso haianzishwi na MTU binafsi isipokuwa wananchi waliofungamana kuanzisha makampuni yao ktkk kutumia fursa zilizowekwa na serikali.
Kwahiyo Mtanzania yeyote kwenye wazo linaloweza kubadilishwa na kuwa kitegauchumi na kuzalisha ajira anakaribishwa kwenye Poso.
 
Asante sana kwa ufafanuzi huu ila unaonekana kama kuitambua vizuri POSO so unaweza kuwa muelimishaji mzuri.
Vipi kuhusu hisa zinazosisitizwa?
 
Back
Top Bottom