MtamaMchungu JF-Expert Member Joined Apr 10, 2011 Posts 9,961 Reaction score 14,569 May 19, 2012 #21 Wakiondoa foleni watakuwa wameondoa maendeleo because according to the president, foleni == maendeleo.
Wakiondoa foleni watakuwa wameondoa maendeleo because according to the president, foleni == maendeleo.
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,030 Reaction score 59,682 May 19, 2012 #22 ndio yule mzee ambaye hadi ofisi zake zinanuka?
IKHOIKHOI JF-Expert Member Joined Jan 30, 2012 Posts 366 Reaction score 41 May 19, 2012 #23 Daaaaah, wacha naye aseme chochote ili ajulikane yupo.
Ciril JF-Expert Member Joined Jan 10, 2011 Posts 8,558 Reaction score 7,168 May 19, 2012 #24 Tume ya katiba said: Watanzania mbona hamna subra? kwani muda wa uongozi umeisha? subiri muda uishe yaani 2015 ndio muanze kulalamika! Ahadi zote zitatekelezwa 2010-2015. Click to expand... Tusubiri kwa imani au?maana uhalisia ni sawa na kusema"wananchi wa Tanzania kila mmoja atamiliki ndege"teh teh teh
Tume ya katiba said: Watanzania mbona hamna subra? kwani muda wa uongozi umeisha? subiri muda uishe yaani 2015 ndio muanze kulalamika! Ahadi zote zitatekelezwa 2010-2015. Click to expand... Tusubiri kwa imani au?maana uhalisia ni sawa na kusema"wananchi wa Tanzania kila mmoja atamiliki ndege"teh teh teh
Bujibuji Simba Nyamaume Platinum Member Joined Feb 4, 2009 Posts 78,144 Reaction score 166,082 May 19, 2012 #25 CCM ni namba wani, utasikia mara zidumu fikra za mwenyekiti, mara fikra za mkuu wa mkoa, mara fikra za nani sijui, yaani ni ujinga mtupu. Gulwa said: Nimemsikia akiwaagiza wakuu wa wilaya kuondoa tatizo la msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula. Huu ni mzaha mwinginee Click to expand...
CCM ni namba wani, utasikia mara zidumu fikra za mwenyekiti, mara fikra za mkuu wa mkoa, mara fikra za nani sijui, yaani ni ujinga mtupu. Gulwa said: Nimemsikia akiwaagiza wakuu wa wilaya kuondoa tatizo la msongamano wa magari na kupanda kwa bei ya vyakula. Huu ni mzaha mwinginee Click to expand...