Lipijema
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 922
- 1,451
Inasikikitisha sana nchi hii tumekosa uhuru ndani ya Tanganyika yetu, mtu unatembea barabarani ukiwa na mashaka ya kutekwa, hata unapolala pia ni mashaka tupu ujui kama jua la kesho utaliona.
Ukimsikiliza Mama yake Polepole na familia yake inavyozungumza kwa masikitiko makubwa inaudhunisha kwa kweli! Watanzania bila ya kujali itikadi zetu za dini, vyama au kabila tunaomba msimzuru H.polepole kwa kumuua, ingawa tunafahamu kwa zile damu nyingi zilizo mwaika hatakuwa dhoofu sana.
Jeshi letu msikie vilio vyetu wananchi tusije jutia huu muungano pengine bila ya muungano tusingekuwa na huyu " UTU NA KAZI!"
Ukimsikiliza Mama yake Polepole na familia yake inavyozungumza kwa masikitiko makubwa inaudhunisha kwa kweli! Watanzania bila ya kujali itikadi zetu za dini, vyama au kabila tunaomba msimzuru H.polepole kwa kumuua, ingawa tunafahamu kwa zile damu nyingi zilizo mwaika hatakuwa dhoofu sana.
Jeshi letu msikie vilio vyetu wananchi tusije jutia huu muungano pengine bila ya muungano tusingekuwa na huyu " UTU NA KAZI!"