Pongezi kwa Shule ya sekondari Magufuli

Pongezi kwa Shule ya sekondari Magufuli

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,681
FB_IMG_1539655658664.jpg
 
Naamini ila inakuwaje halmashauri nyingine sioni pongezi kwa shule zao au kwa sababu hii ni ya kanda maalum
Shule nying za umma hali ni Mbaya San.unakuta shule haina mwlim wa phizikia .taarifa tunazo karibia mikoa 6.kuna uhaba wa walimu kwa masomo ya sayansi.je kwa mazingira haya tunajisifiaje kwamba shule za mbabe zinafanya vizur??
 
Sawa kama matokeo hayo ni genuine,isije ikawa wamepika matokeo ili wamfurahishe mkulu.Si unajua ni aibu shule yenye jina la mkulu kushika mkia.
Cha ajabu.hayo ni matokeo ya shule moja ya chato.kwahiyo Chato imekuwa nchi??
 
Hebu watupe matokeo ya wilaya nzima, na matokeo ya shule hiyo over the last five years!
 
Back
Top Bottom