Tanzania bila CCM inawezekana, Watanzania tubadilike tusikubali kununuliwa kama karanga kwa nafasi tena CCM iendelee kutuibia rasilimali zetu tulizoachiwa na wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusiwape tena nafasi CCM waendelee kutupa Huduma mbovu za Afya na Elimu tubadilike
ugaidi wa chademaNaona CCM sasa wanataka eti kutuaminisha kuwa CDM na viongozi wake ni magaidi. Kwa ujinga wa CCM na maelekezo yake kwa vyombo vya usalama na sheria vinavyoshiba kutoka kwao wanaona eti wananchi watawapenda, hivi hawajui kwa sasa kampeni zinapigwa kila kona? Mfano mtu wa kijijini ambaye hajui kinchoendelea kwa sasa anaeleweshwa na wa mjini. CCM ni chama cha kigaidi namba moja, walimuua Kolimba, wakamuua Professor Malima, wakamuua Imran Kombe, na juzi wametega bomu wakaua watu. CCM ni waujai na hawatakaa kuturudisha nyuma enzi za CUF. Come 2015 wataona kitakachotokea! Wao ni wachache sisi ni wengi, by numbers lazima waishe tu.
chadema ni mzoga tena unaonuka, hawafungui macho jinsi wanavyoanikwa uchafu wao tangu KUPORA WAKE ZA WATU,KUENDESHA MADANGURO YA USHOGA MF BILICANAZ, KULISHA WATU SUMU MF LWAKATARE, KUMWAGIA WATU TINDIKALI NKccm ni mzoga tena unaonuka, hawafungui macho jinsi wanavyoanikwa uchafu wao tangu EPA, RICHMOND, KIWIRA, phuuu to hell ccm
ugaidi wa chadema
1. kumwagia watu tindikali mf mussa tesha huko igunga
2.kulisha watu sumu mf. denis msaki aliyetaka kulishwa sumu na lwakatare na ben sa8 aliyetaka kumlisha sumu zitto
3.kulipua mabomu na kuua watu mf. arusha\
4.kutishia vikongwe kwa bunduki mf makada wa tabata waliotaka kumuua mamake zitto ili awape nyaraka
Nashauri sasa ifunguliwe account ya bank inayoitwa okoa chadema dhidi ya kesi.hii tasaidia kulipa gharama za usafiri kwa mawakili na washitakiwa kwa kesi za mbali.
Tuko pamoja mkuu katika kuipongeza Chadema....kadiri CCM wanavyo eneza siasa chafu dhidi ya CDM , ndivyo wanavyozidi kuipaisha Chadema...Wana JF,
Mimi baada ya kutafakari kwa kina kwa ushindani uliopo na chuki inayojitokeza kati ya vyama vikuu viwili vya siasa CHADEMA na CCM nimekuja kugundua kwamba CHADEMA imeweza kufanya kazi kubwa sana ya kuidhoofisha CCM kwa mwaka 2012 na 2013 kwa kueneza sera zake zinazokubalika kwa Watanzania. Sifurahi chuki baina ya hivi vyama viwili lakini hakuna jinsi kwa sababu ndio hali halisi kuwa waliozoea kutawala baada ya kuona uwezekano huo unaweza usiwepo kabisa 2015 wameamua kueneza siasa za chuki.
Uthibitisho wa kwamba CHADEMA imefanya kazi kubwa ya kuidhoofisha CCM ni siasa za maji taka na chuki inayojitokeza baina ya vyama hivi viwili pasipo kuisahau NCCR Mageuzi. Haina shaka kwamba chuki hii ya CCM dhidi ya vyama vinzani ni hofu ya kuondoka madarakani
CCM walidhani historia ya vyama vya upinzani nchini Tanzania ya kuanza kwa nguvu na wao CCM kuvidhoofisha itafanikiwa kwa CHADEMA sasa wamekuja kugundua muda unaenda badala ya CHADEMA kudhohofika kinaimarika zaidi
Natoa pongezi kwa uongozi wa CHADEMA ngazi ya Taifa , Kanda, Mikoa , Wilaya hadi ngazi ya msingi matunda ya kazi yenu yameonekana
Nawasilisha
Chadema chini ya jemedari mbowe na slaa aaa ccmhawali hawalali jamani, njia nyeupe kwenda ikulu
Hili liko wazi kila mtu analiona,cha kushauri na kusisitiza katika mikutano yao CDM wawasisitize wananchi hasa vijana kujitokeza kwa wingi katika kuboresha daftari la kudumu la wapiga kura ili waweze kujiandikisha pia kwenye vitambulisho vya uraia ili 2015 kiwe kishindo kikuu
Kama ulikuwa hujui mambo kama haya unayoyasema ndiyo yanayo ipa credit Chadema....Kwani ndo tuanzidi kuipenda CDMugaidi wa chadema
1. kumwagia watu tindikali mf mussa tesha huko igunga
2.kulisha watu sumu mf. denis msaki aliyetaka kulishwa sumu na lwakatare na ben sa8 aliyetaka kumlisha sumu zitto
3.kulipua mabomu na kuua watu mf. arusha\
4.kutishia vikongwe kwa bunduki mf makada wa tabata waliotaka kumuua mamake zitto ili awape nyaraka