THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 18,546
- 14,801
Friends and our enemies,
Kauli za Gwajima ziko wazi,alichokitaka kiko wazi na lengo lake lilikuwa wazi nalo ni kuugombanisha Umma na serikali hususani mamlaka za juu za nchi hii.
Hapa namnukuu...
"HUENDA HAWA WAKUU WA VYOMBO VYA USALAMA NI WAZALENDO,SASA WANAPOSIMAMIA UZALENDO WANAISHIA KUONDOLEWA KWENYE NAFASI ZAO KWA KUWA TUH WANAPINGA VITENDO VYA UTEKAJI,SASA BASI NAUNGA MKONO WAKUU HAWA KUTEULIWA NA RAIS,ILA KABLA YA WAKUU HAWA KUONDOLEWA SABABU ZILETWE KWETU WABUNGE ILI TUJUE KUWA WANAONDOLEWA KWA HAKI AU WANAONEWA KWA UZALENDO WAO?,USIKUTE HAWA WAKUU WANATOLEWA KWA KUWA NIA YAO NI UZALENDO,JAMBO HILI LIKIFANIKIWA BASI UTEKAJI UTAKOMA"...Mwisho wa kumnukuu...
Gwajima, kaongea mengi sana ya hovyo,nimeamua kuchukua hayo machache.
Ukisikiliza kwa umakini kabisa utatambua nia yake ni ipi huyu gwajima.
Nia yake na lengo liko wazi kabisa,ni kuuhusisha mamlaka za nchi hii na vitendo vya utekaji kwa kutaka kujifanya anajenga hoja zake kwa kuzunguka zunguka.
Na kama hiyo haitoshi, akaendelea KUTUMIA eneo la kanisa lake kuendeleza mashambulizi na maneno ya chuki dhidi ya serikali na mamlaka,kwanini mtu huyo asichukuliwe hatua??
Kanisa limepata usajili kwa kuendesha shughuli za ibada na maombi,hizo shughuli alizokawa anaendelea nazo ni miongoni mwa miongozo ya usajili wake??
Kwa maana hiyo TUNAPONGEZA SUALA LA KANISA HILO KUFUNGWA, ILA KWA MUSTAKABALI WA AMANI YA NCHI HII HUYO MTU ASHITAKIWE KWA KESI YA UCHOCHEZI NA UVUNJIFU WA AMANI NDANI YA NCHI.
Kauli za Gwajima ziko wazi,alichokitaka kiko wazi na lengo lake lilikuwa wazi nalo ni kuugombanisha Umma na serikali hususani mamlaka za juu za nchi hii.
Hapa namnukuu...
"HUENDA HAWA WAKUU WA VYOMBO VYA USALAMA NI WAZALENDO,SASA WANAPOSIMAMIA UZALENDO WANAISHIA KUONDOLEWA KWENYE NAFASI ZAO KWA KUWA TUH WANAPINGA VITENDO VYA UTEKAJI,SASA BASI NAUNGA MKONO WAKUU HAWA KUTEULIWA NA RAIS,ILA KABLA YA WAKUU HAWA KUONDOLEWA SABABU ZILETWE KWETU WABUNGE ILI TUJUE KUWA WANAONDOLEWA KWA HAKI AU WANAONEWA KWA UZALENDO WAO?,USIKUTE HAWA WAKUU WANATOLEWA KWA KUWA NIA YAO NI UZALENDO,JAMBO HILI LIKIFANIKIWA BASI UTEKAJI UTAKOMA"...Mwisho wa kumnukuu...
Gwajima, kaongea mengi sana ya hovyo,nimeamua kuchukua hayo machache.
Ukisikiliza kwa umakini kabisa utatambua nia yake ni ipi huyu gwajima.
Nia yake na lengo liko wazi kabisa,ni kuuhusisha mamlaka za nchi hii na vitendo vya utekaji kwa kutaka kujifanya anajenga hoja zake kwa kuzunguka zunguka.
Na kama hiyo haitoshi, akaendelea KUTUMIA eneo la kanisa lake kuendeleza mashambulizi na maneno ya chuki dhidi ya serikali na mamlaka,kwanini mtu huyo asichukuliwe hatua??
Kanisa limepata usajili kwa kuendesha shughuli za ibada na maombi,hizo shughuli alizokawa anaendelea nazo ni miongoni mwa miongozo ya usajili wake??
Kwa maana hiyo TUNAPONGEZA SUALA LA KANISA HILO KUFUNGWA, ILA KWA MUSTAKABALI WA AMANI YA NCHI HII HUYO MTU ASHITAKIWE KWA KESI YA UCHOCHEZI NA UVUNJIFU WA AMANI NDANI YA NCHI.