Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Nimemwona Kova akibwabwaja ktk Chanel10 usiku huu, akisema polisi wamejipanga na kuunda timu ya kitaalamu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kupigwa kwa Dr Ulimboka.
masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!
Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.
Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.
masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!
Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.
Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.