Polisi mnalifahamu hili? Waliochoma makanisa Unguja ndiyo hao hao waliompiga Dr Ulimboka

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
234
Nimemwona Kova akibwabwaja ktk Chanel10 usiku huu, akisema polisi wamejipanga na kuunda timu ya kitaalamu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kupigwa kwa Dr Ulimboka.

masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!

Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.

Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.
 
Watanzania msilalamike mliyataka wenyewe! Hiyo serikali mnayoilalamikia haikuingia msituni na kutwaa madaraka! Ni ninyi wenyewe kwa ushabiki wenu wa Yanga na Simba katika siasa mlipiga kura kama vipofu. Tulieni mkamuliwe vizuri hadi hapo mtakapopata mang'amuzi mwaka 2015.
 
nimekusoma mkuu..
u mean that "hawata wakamata kama walivyoshindwa kuwakamata wa unguja"
 
Watanzania msilalamike mliyataka wenyewe! Hiyo serikali mnayoilalamikia haikuingia msituni na kutwaa madaraka! Ni ninyi wenyewe kwa ushabiki wenu wa Yanga na Simba katika siasa mlipiga kura kama vipofu. Tulieni mkamuliwe vizuri hadi hapo mtakapopata mang'amuzi mwaka 2015.
kaka ndiyo nakiri tuliwachagua 2005, ila baada ya kuona madudu yao, 2010, tukawapinga, ila kwa kuwa walikuwa wanagombea kiti walichokikalia.... wakachakachua wakagoma kuinuka japo hawakushinda.
 
Pia Kova aliomba wenye taarifa zozote kuhusu tukio awasilishe kwa polisi. mimi nawashauri wenye taarifa za tukio wasizipeleke, kuna hatari wanaweza nao kupotea withou trace.

Mnakumbuka wakati wa kifo cha Dr Ouko huko Kenya mapema miaka ya 90. Wananchi waliambiwa hivyo hivyo, na waliopeleka taarifa hawakuonekana tena, pamoja na mchunga mbuzi aliyeshuhudia jinsi mwili wa Ouko ulivyoburuzwa kwenye shamba na kuchomwa moto.
 
Nimemwona Kova akibwabwaja ktk Chanel10 usiku huu, akisema polisi wamejipanga na kuunda timu ya kitaalamu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kupigwa kwa Dr Ulimboka.

masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!

Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.

Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.
Usalama wa Taifa wanahusika moja kwa moja na matokeo yanayotokea nchini. Wameanza kwa kutia mavi visimani wapate kisingizio eti wapinzani, kuchoma makanisa eti uamsho, kupiga watu na kufany hujuma mbali mbali eti wahuni tu. Mimi nafikiri viongozi wa siri - kali wanajua na kuhusika na yote haya.....
 
Hao usalama wa taifa wakiugua watapelekwa India pia? Na wake zao wakitaka kujifungua je? Watapelekwa Johanesburg?
 
Pia Kova aliomba wenye taarifa zozote kuhusu tukio awasilishe kwa polisi. mimi nawashauri wenye taarifa za tukio wasizipeleke, kuna hatari wanaweza nao kupotea withou trace.

Mnakumbuka wakati wa kifo cha Dr Ouko huko Kenya mapema miaka ya 90. Wananchi waliambiwa hivyo hivyo, na waliopeleka taarifa hawakuonekana tena, pamoja na mchunga mbuzi aliyeshuhudia jinsi mwili wa Ouko ulivyoburuzwa kwenye shamba na kuchomwa moto.

kazi ya police ni kupelekewa habari siku hizi?
 
Watanzania msilalamike mliyataka wenyewe! Hiyo serikali mnayoilalamikia haikuingia msituni na kutwaa madaraka! Ni ninyi wenyewe kwa ushabiki wenu wa Yanga na Simba katika siasa mlipiga kura kama vipofu. Tulieni mkamuliwe vizuri hadi hapo mtakapopata mang'amuzi mwaka 2015.

Slavery: a civil relationship whereby one person has absolute power over anothers life,liberty and fortune. To qoute Harriet Tubman/ i freed thousand of slaves, i would have freed thousands more if only they knew they were slave.

Hadi hapo wa Tanzania watakapo tambua that they are little more than slaves chini ya utawala CCM mabadiliko ya kweli hayapatini.
 
Hiyo ndo serikali dhaifu bana ipo kama kuku wa kuchora! Haing'ati, haidonoi, haitagi wala haitotoi!
 
Nimemwona Kova akibwabwaja ktk Chanel10 usiku huu, akisema polisi wamejipanga na kuunda timu ya kitaalamu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kupigwa kwa Dr Ulimboka.

masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!

Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.

Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.

Kamanda Kova aache kuwadanganya Watanzania. Huwezi kumkamata mtu uliyemtuma kwenda kufanya uharifu. Watu waliompiga Dr. Ulimboka wametumwa na wao wenyewe hivyo wanawajua ni akina nani waliohusika na huo unyama wa kutisha. Kauli ya Mheshimiwa Mizengo Pinda pale Bungeni inadhihirisha ukweli huu. Polisi haohao wameshindwa kuwakamata Wahuni waliochoma Makanisa kule Zanzibar, wataweza kuwakamata hawa wa Tanzania Bara?
 
Hao usalama wa taifa
wakiugua watapelekwa India pia? Na wake zao wakitaka kujifungua je?
Watapelekwa Johanesburg?

Hawa jamaa ni malaika wazuri sana, ila wakitumiwa vibaya wanageuka mashetani! Sasa hivi hawa ni mashetani nchini!
 
Ninajua polisi ina intelijensia kali sana. Hawajashindwa kutambua wachomaji wa Zanzibar. Kadhalika hawashindwi kutambua 'wauaji' wa Dk Ulimboka. Tatizo ni kuwa mengi ya matukio haya yanaihusisha serikali indirectly!
 
Nimemwona Kova akibwabwaja ktk Chanel10 usiku huu, akisema polisi wamejipanga na kuunda timu ya kitaalamu kufanya uchunguzi wa kina kuhusu kupigwa kwa Dr Ulimboka.

masikini Kova, hajui anachokisema. Polisi wake, au polisi wowote wa TZ hawawezi kuchunguza kwa ufanisi matukio kama haya ambayo yana kila dalili ya kuwepo mkono wa serikali. Atajikuta anapigana na ukuta tu. Kauli yake hiyo ni stahili kwa wadanganyika, ingawa iko siku........!

Iwapo polisi wa TZ wameshindwa kuwabaini 'wahuni' waliochoma makanisa huko Unguja ambako ni eneo dogo tu la watu wachache, vipi hapa Dsm ambako population yake ni mara kumi zaidi ya ile ya Unguja.

Polisi msitake kutuchekesha -- waliochoma makanisa huko Unguja ndiyo hao hao waliompga Dr Ulimboka. nadhani nimeeleweka nasema nini hapa.

Unaushahidi gani? wewe ndio polisi na mahakama?? kama si unafiki tu ulionao.
 
Never take some words seriously...this action of torturing Dr. Ulimboka has got public consequences and might have political impact as well. What else do you think the guys will say? I never take them seriously
 
Back
Top Bottom