Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
Haka kakituo ni kapya hakajamaliza hata mwezi,wamemwagwa hapo askari kutoka makao makuu ya polisi ni very corruptive,sidhani toka kituo hicho kimeanza kazi kama kuna kesi hata moja imefikishwa mahakamani,wanacompromise na waharifu kuliko kawaida sababu ya rushwa.
Nimetoka hapo asubuhi hii kufuatilia malalamiko yangu nimekuta mpelelezi wa kesi anakunywa chai na mhalifu ambaye ndio kasettle bill mbele ya macho yangu,hii ni hatari ila kwa upande wangu kitaeleweka tu na simpi mtu mia.
Nimetoka hapo asubuhi hii kufuatilia malalamiko yangu nimekuta mpelelezi wa kesi anakunywa chai na mhalifu ambaye ndio kasettle bill mbele ya macho yangu,hii ni hatari ila kwa upande wangu kitaeleweka tu na simpi mtu mia.