Bob Fern
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 900
- 131
Nijuavyo mimi, muslims are not that cheap quitters. Kama kukisanua tutakisanua tuu, let's give it a time. Hii serikali imeshindwa kutenda haki. Kinachoshangaza hapa, kuna watu humu wanaiponda hii serikali kila leo, lakini linapokuja swala la kuminya haki za waislamu wanajifanya kuiunga mkono serikali. Haya yote yataisha siku waislamu japo laki moja tuu wakiamua kuihenyesha hii serikali, na sidhani kama serikali mbovu kama hii itasimama. Kwa muislamu kifo ni bora kuliko kudhulumiwa. Kama kweli hii serikali haitaki msuguano na waislamu, iache kuingilia mambo ya waislamu na kuwatetea waislamu wanafiki wanauhujumu uislamu na waislamu hapa Tanzania. Ipo siku tutaheshimiana kwa vitendo.
Small minded