Police Ferry Magogoni waendelea kudhalilishwa

Police Ferry Magogoni waendelea kudhalilishwa

eumb

Senior Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
149
Reaction score
70
Imekuwa jambo la kawaida sasa kwa polisi wa ferry upande Magogoni kudharauliwa na kutukanwa na madereva wanaovunja sheria kwa kutokufuata foleni na kuchomekea wengine hasa nyakati za jioni.

Askari wanapotaka kuwachomoa pale wanapochomeka, wanashia kupewa lugha za kejeli na kudhalilisha. Nimejulishwa kuwa wengi wao ni Wanajeshi wastaafu na viongozi serikali hivyo endapo polisi watajaribu kuwachukulia hatua basi kibao kitawageukia polisi.

Hali hiyo Ina ukweli kwasababu tumeona brbr nyingine Askari wanavyowabana wanao 'tanua'. Duh, hii ndio Bongo kweli!!??
 
Mwanajeshi msitaafu bei gan bana mbona me mwenyewe mwanachuo mstaafu!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Wanakera sana watu wanaojichomeka wakati wenzao wamekaa mda kwenye foleni..... Aaaahr
 
Only and Only in Tanzania! Nchi za watu ukivunja sheria hata kama una nyota hadi kwenye nywele unakamatwa na Polisi kwa hatua za kisheria.
 
Ukiona watunga sheria wanazikiuka sheria bs huo ndo mwanzo wa tuliowapa dhamana kufikiri njia mbadala.
 
Ukistaafu unakuwa juu ya sheria ngoja kesho niwafuatilie!

Asante kwa taarifa kijana
 
Only and Only in Tanzania! Nchi za watu ukivunja sheria hata kama una nyota hadi kwenye nywele unakamatwa na Polisi kwa hatua za kisheria.

Hii ndiyo sala model ya utawala tunataka kutawala kwa sheria huku tuna uchifu na ufalme falme umetukaa hivyo hatujaacha utawala wa kichief na Hatuuwezi utawala wa kileo wa sheria
 
Teeh teeh teeh teeh matusi kwa askari wote wa tanzania ni sehemu ya maisha yao tokea wanakuwa vyuoni kwenye mafunzo ya awali hivyo kamwe hutakuja sikia eti askari wa tz kafungua kesi kisa katukanwa sababu ya wao kutukanwa wakiwa kwenye mafunzo yao ni kujengwa kiisaikolojia ili kukabiliana na wenye midomo kama choo cha stendi kisichosafishwa. Hila kuvunja sheria itakuwa hasa hao wauza bwimbi askari watz hawana tabia ya kudharauliana coz wote ni maskini na anayemdharau mwenzake hajitambui.
 
Mkuu mimi nilikuwa polisi, na hii ilikuwa moja ya sababu zilizonifanya niache kazi.

Kazi ya polisi ngumu sana, hasa pale utakapokutana na bosi mpuuzi
 
We jamaa ni kanjanja mwenye fiksi kama Mulugo!!

Mbona namba kibao naziona zinaning'inia kwenye mashati ya maafanse hapa bongo ije linamba lako hilo kama la manamba.

Aisee sema namba bhana we mzee!!
Mkuu ukiniita manamba tena nakuwasha ya mguu...
 
Back
Top Bottom