Msimamo wake umeeleweka, Msigwa kaishia kujaribu kum-attack bila ya kuchambua hoja ya kijana,eti analazimisha ngono na alifanya ubadhirifu wa laki sita.Aibu sana,wananchi wanataka kujua kwa nn huyu mwizi Lowassa anakaribishwa na kupewa fursa adhimu km hiyo?Nini misingi ya Ukawa?mkisema kumuweka mamlakani fisadi nguli,vipi kuhusu yale yote ya rasimu ya Warioba na maandamano kupinga ubadhirifu?
Watu wamepoteza uhai mkipinga wala rushwa na mnaowaita kuwa ni wakandamizaji?leo yote yamekuwa ni sawa na kupoteza muda,that's why wenye akili zao kama Slaa na Lipumba wamewaachia mchakato wenu usio na dira.