AiseeeeeMwenyekiti wenu katekwa na Kikwete na Rostam majambazi yaliyokimbia enzi za magu ndio yanapanga watu
Watanzania tunapenda kukuza sana mambo; mbona ni majimbo kama 10 tu kati ya 220+... JPM alikata watu wangapi??? Kibao... kimsingi CCM ndio wanataka kuongelewa hivi lakini kimsingi ni jambo lankawaida tu CCM na halitokei kwa mara ya kwanza...Naona kila kona Tanzania mnalalamika kukatwa watu wenu mliowapogia kura na kuwataka wawe wawakikishi wenu
Huu ni utaratibu mbovu na usiofaa maana ....
Mwendazake alimualika Rostam ikulu huku akijichekesha Kwa Ajili gani?Mwenyekiti wenu katekwa na Kikwete na Rostam majambazi yaliyokimbia enzi za magu ndio yanapanga watu