Walikuwa wanajua mchongo haoHali ilivyokuwa kama ilivyoripotiwa na mwandishi maarufu wa habari za uchunguzi Bw. Allan Namu wa nchini Kenya. Allan Namu asubuhu ya tukio walikuwa wanapita maeneo ya Westland jijini Nairobi na walipofika mtaa wa Riverside Drive ghafla wakajikuta katikati ya eneo la tukio .Walihatarisha maisha yao kwa kusimama na kurekodi hatua kwa hatua kilichokuwa kinatokea.
Source : africa uncensored
On the afternoon of Tuesday, 15th January, 2019, armed gunmen stormed into 14 Riverside, a corporate campus in Westlands, Nairobi that hosts offices of several corporates, a restaurant and a hotel, DusitD2. The Africa Uncensored crew, which was nearby, was the first at the scene and this is a compilation of how the attack unfolded. Source : Africa uncensored.
#UPDATE Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amethibitisha kwamba Magaidi wote waliohusika ktk shambulio la Hotel ya DusitD2 Jijini Nairobi wameuawa.#MillardAyoUPDATES (Citizen TV) millardayo on TwitterHao watu site wenye wameuawa ni raia ama gaid..??
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Siyo pongezi. Wazidishe mafunzo. watu 4 wanawasumbua hours and hours??? Sasa bona riport za hospital zinasema zimeshapokea maiti 17?
Are you effing serious bro????!Siyo pongezi. Wazidishe mafunzo. watu 4 wanawasumbua hours and hours??? Sasa bona riport za hospital zinasema zimeshapokea maiti 17?
Ile kambi ya KDF kule Kenya iliyotekwa yote ilikua ni kambi ya wanafunzi au kambi ya jeshi?Aisee uwanja wa vita ni sehem nyingine meku. Inahitaj umakin. Usidhan ni rahisi kama unavyodhan.
Magaid wanaua watu wasio na silaha. Kwann wasivamie kambi ya makomandoo.. then tuone nani atatoka mwanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kambi ya KDF kule Kenya iliyotekwa yote ilikua ni kambi ya wanafunzi au kambi ya jeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, you are more than a Kenyan, taja kambi ipi hapo Kenya ni kambi maalum kwa komandoo, acha kuchekesha watu.Ni kambi ya jeshi... lakin ni regular army. Kambi ya makomandoo huwa ni tofauti na inajitenga. Waende hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la magaidi wao vita kwao haviishiHapo magaidi wote lazima walazwe haijarishi itachukua siku ngapi.
Polisi wana vile vikosi vyao hatari sana,vimebobea ktk mapigano ya kwenye majengo.
Kenya wana kile kikosi kinaitwa RECCE
TZ wanakile kikosi cha CRT.
Hatari sana hao jamaa.!
5/5.
Ni kambi gani hiyo ya KDF Kenya iliyotekwa yote? Acha porojo bana.Ile kambi ya KDF kule Kenya iliyotekwa yote ilikua ni kambi ya wanafunzi au kambi ya jeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't be silly, ninajua unafahamu nilitaka kumaanisha kule Somalia.Ni kambi gani hiyo ya KDF Kenya iliyotekwa yote? Acha porojo bana.
Kwani hii comment yako hapa chini umeandikiwa na nani?Don't be silly, ninajua unafahamu nilitaka kumaanisha kule Somalia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kambi ya KDF kule Kenya iliyotekwa yote ilikua ni kambi ya wanafunzi au kambi ya jeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app