Poleni waathirika, shukrani na hongera kwa makomando kwa kukamilisha shughuli

Hali ilivyokuwa kama ilivyoripotiwa na mwandishi maarufu wa habari za uchunguzi Bw. Allan Namu wa nchini Kenya. Allan Namu asubuhu ya tukio walikuwa wanapita maeneo ya Westland jijini Nairobi na walipofika mtaa wa Riverside Drive ghafla wakajikuta katikati ya eneo la tukio .Walihatarisha maisha yao kwa kusimama na kurekodi hatua kwa hatua kilichokuwa kinatokea.

Source : africa uncensored
On the afternoon of Tuesday, 15th January, 2019, armed gunmen stormed into 14 Riverside, a corporate campus in Westlands, Nairobi that hosts offices of several corporates, a restaurant and a hotel, DusitD2. The Africa Uncensored crew, which was nearby, was the first at the scene and this is a compilation of how the attack unfolded. Source : Africa uncensored.

Walikuwa wanajua mchongo hao
 
Haya mashababi pumbavuu sanaa! Sasa yanasubiri mabikra huko janaah!!
FB_IMG_1547624627044.jpeg
FB_IMG_1547624630140.jpeg
FB_IMG_1547624570670.jpeg
FB_IMG_1547624579054.jpeg
FB_IMG_1547624605512.jpeg
FB_IMG_1547624570670.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Watani wetu Mungu awe nanyi katika kipindi hiki kigumu, Hongera sana kwa vikosi vya ulinzi na usalama kwa kuthibiti hali hiyo
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure


pongezi ziende kwa maafisa wote wa vyombo vya ulinzi na usalama. Don't single out mmoja.
 
Aisee uwanja wa vita ni sehem nyingine meku. Inahitaj umakin. Usidhan ni rahisi kama unavyodhan.
Magaid wanaua watu wasio na silaha. Kwann wasivamie kambi ya makomandoo.. then tuone nani atatoka mwanaume
Siyo pongezi. Wazidishe mafunzo. watu 4 wanawasumbua hours and hours??? Sasa bona riport za hospital zinasema zimeshapokea maiti 17?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana ndugu na majirani zetu pia hongereni kwa kazi ngumu na iliyotukuka kuwamaliza mazombi yasiyo na huruma, ubinaadamu na ni majitu yasiyoelezeka nadhani Mungu ameyaleta duniani kwa bahati mbaya.
 
Hapo magaidi wote lazima walazwe haijarishi itachukua siku ngapi.
Polisi wana vile vikosi vyao hatari sana,vimebobea ktk mapigano ya kwenye majengo.

Kenya wana kile kikosi kinaitwa RECCE
TZ wanakile kikosi cha CRT.
Hatari sana hao jamaa.!

5/5.
 
Aisee uwanja wa vita ni sehem nyingine meku. Inahitaj umakin. Usidhan ni rahisi kama unavyodhan.
Magaid wanaua watu wasio na silaha. Kwann wasivamie kambi ya makomandoo.. then tuone nani atatoka mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile kambi ya KDF kule Kenya iliyotekwa yote ilikua ni kambi ya wanafunzi au kambi ya jeshi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo magaidi wote lazima walazwe haijarishi itachukua siku ngapi.
Polisi wana vile vikosi vyao hatari sana,vimebobea ktk mapigano ya kwenye majengo.

Kenya wana kile kikosi kinaitwa RECCE
TZ wanakile kikosi cha CRT.
Hatari sana hao jamaa.!

5/5.
Tatizo la magaidi wao vita kwao haviishi
Na kupigana na mtu aliyejitolea kufa ni shida!
Hapo Inabidi wangalie namna gani ya kuwateketeza kabisa mpk kiini Chao
Ila kwa Hali iliyotokea kenya ndy kwanza Hawa washnz alshabab wanafurahia

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom