Hakuna kitu nikichukiacho kama Mtz kuside na mgeni kunyonya au kudhiulumu Mtz mwenzio.
Mtoa mada mawasiliano na watu wa uhamiaji si unayo waje chungulia apo au kama vip ni kuyaanika haya kupitia magazeti mengine.
Staff have to be valued jamani maana bila wao hamna Coca Cola.