Pole raisi wa nchi ya tanzania kwa kufiwa na nyanya wa mkeo.Mungu akupe nguvu katika kipindi iki kigum raisi wangu.wote kwa pamoja wanajf tuwape pole mke wa raisi na familia yao wote kwa pamoja
Kwa niaba ya nyumbu wa lumumba nachukua fursa hiii kukupa pole mana nyumbu hawakupewa habar hiii mapema.