Snowpiercer
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 2,384
- 4,355
Brenda am very ready tena more than serious. .ila usisome comments zikakuchanganya..my thread is ok i wrote it just for fun..ila pipoz wameexagurate mpaka imeonekana kama big ishu..like seriously watu wangap wanataniana humu an it is ok with them sema sababu nimeandika abt pm imekua shida...maombi yangu yapo pale and nitafanikiwa as Gods will
Kuna fungu kwenye biblia kitabu cha mithali silikumbukiBrenda am very ready tena more than serious. .ila usisome comments zikakuchanganya..my thread is ok i wrote it just for fun..ila pipoz wameexagurate mpaka imeonekana kama big ishu..like seriously watu wangap wanataniana humu an it is ok with them sema sababu nimeandika abt pm imekua shida...maombi yangu yapo pale and nitafanikiwa as Gods will
Brenda am very ready tena more than serious. .ila usisome comments zikakuchanganya..my thread is ok i wrote it just for fun..ila pipoz wameexagurate mpaka imeonekana kama big ishu..like seriously watu wangap wanataniana humu an it is ok with them sema sababu nimeandika abt pm imekua shida...maombi yangu yapo pale and nitafanikiwa as Gods will
Hahahaa lilymashy kumbe haupo tayari kwa hicho ulichokiomba,wanaume wa humu ndio haohao wa mtaani....
Trust me there are good men humu sio kama unavyo wajudge
All the best,funga mkanda safari imeanza
Brenda am very ready tena more than serious. .ila usisome comments zikakuchanganya..my thread is ok i wrote it just for fun..ila pipoz wameexagurate mpaka imeonekana kama big ishu..like seriously watu wangap wanataniana humu an it is ok with them sema sababu nimeandika abt pm imekua shida...maombi yangu yapo pale and nitafanikiwa as Gods will
Unajua inawezekana kweli upo kwenye mood ya utani lakini sasa I think this matter is so sensitive my dear,halafu pia I think hujaizoea jf vizuri yani kuna wakati ukiweka tu comment kwenye thread ya mtu bado utapata PM....
All in all,take it easy lakini there are good men humu,don't limit God,naona kabisa ndoa itatokea humu Hahahaa usiache kutupa feedback....
Mwambie huyo tupo humu asituchukulie poa....btw hio kauli imeni surprise!
Aiseee wana jf humu ni kiboko..yan usithubutu kusema u are single watakua wageni wako wa ghafla huko kwenye pm..yan jana nimeongea swala la kumuomba Mungu anipe mume 2016,nimepata waume wema kibao huko kwenye pm yan mtu anajiexpress hadi unabaki kucheka...ni nini kuniletea jam huko..afu wana confidence haoo 😂😂😂 hahaha..anyways namba za simu mi sizitaki jaman zitunzeni tuu kwa matumizi yenu ya bdae...wengine kwa text tuu mnaonyesha mlivo mabaazazi kabla hata ya kuwaona...ila ngoja tuu niwatakieni wikend njema.
Hahahaa hulali ati,nakupigia debe hapo huoni?
Kabisa narudia kauli yangu,kuna wanaume wazuri(tabia etc) humu ashindwe mwenyewe tu,kama mimi nnavyoshindwa mwenyewe...
Usipoangalia kwa ujinga huo utadoda pumbavu! Yaani unatokewa alafu unawakejeli?
Bahati mbaya ni kwamba kwa mwanaume umri siyo ishu kivile
Usipoangalia kwa ujinga huo utadoda pumbavu! Yaani unatokewa alafu unawakejeli?
Bahati mbaya ni kwamba kwa mwanaume umri siyo ishu kivile
Ahifadhi maneno yake labda huko baadae sana atakapopevuka kiakili aje fanya review ili ajionee mwenyewe haya.
Ni kweli mwanaume anaweza kuwa umri mkubwa lakini achapa kuliko vijana
Teh teh..Mpendwa nimekoma kutongoza vitoto..Sasa huyu kumfwata tu pm anakuja kuanzisha uzi..Ningemgonga si angefanya press conference kabisa..