Mandela T HD Member Joined Oct 22, 2015 Posts 14 Reaction score 4 Nov 13, 2015 #1 Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa
Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa
Mgumu04 JF-Expert Member Joined Jul 15, 2011 Posts 1,943 Reaction score 1,059 Nov 13, 2015 #2 ulinunua second hand mkuu?
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,875 Nov 13, 2015 #3 Ni simu ya wizi......?.....
MeinKempf JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 11,092 Reaction score 7,235 Nov 13, 2015 #4 Preta said: Ni simu ya wizi......?..... Click to expand... Ashabambikwa huyo we unanunua simu kama hiyo kituo cha SIMU 2000 ..unategemea nini??
Preta said: Ni simu ya wizi......?..... Click to expand... Ashabambikwa huyo we unanunua simu kama hiyo kituo cha SIMU 2000 ..unategemea nini??
Troll JF Platinum Member Joined Feb 6, 2015 Posts 9,330 Reaction score 13,777 Nov 13, 2015 #5 Mandela T HD said: Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa Click to expand... Umeuziwa rudisha tuu kwa huyo mliyemwibia iPhone ikishakua na sifa ya kuibwa huwa Haiuziki wa kutumika tena.
Mandela T HD said: Niko na simu ya iphone nimeuziwa ila kila nikijaribu kuweka laini inagoma imepigwa lock nimeshindwa kutoa Click to expand... Umeuziwa rudisha tuu kwa huyo mliyemwibia iPhone ikishakua na sifa ya kuibwa huwa Haiuziki wa kutumika tena.
Mandela T HD Member Joined Oct 22, 2015 Posts 14 Reaction score 4 Nov 13, 2015 Thread starter #6 Mshikaji kaniletea ndugu kapewa zawadi ila lock ndio shida
Troll JF Platinum Member Joined Feb 6, 2015 Posts 9,330 Reaction score 13,777 Nov 13, 2015 #7 Mandela T HD said: Mshikaji kaniletea ndugu kapewa zawadi ila lock ndio shida Click to expand... Basi kama umepewa Zawadi ni vizuri kuwasiliana na huyo aliyekupa akupe Hakuna fundi humu wa kukurekebishia humu
Mandela T HD said: Mshikaji kaniletea ndugu kapewa zawadi ila lock ndio shida Click to expand... Basi kama umepewa Zawadi ni vizuri kuwasiliana na huyo aliyekupa akupe Hakuna fundi humu wa kukurekebishia humu
Mandela T HD Member Joined Oct 22, 2015 Posts 14 Reaction score 4 Nov 13, 2015 Thread starter #8 Ww sema huwezi kuna kitu kinashindikana acha wanaojua wachangie mada