mgusi mukulu
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 715
- 682
Eneo ni tambalale, ukubwa ni square meter 400, umeme umefika, kiwanja hakina mgogoro wowote, umbali toka main road ni meter 300 tu , umbali toka ferry ni km 8. Eneo limejengeka vizuri, eneo ni la kujenga nyumba ya vyumba vinne kimoja kikiwa master bedroom, dining , kitchen, na public toilet. Parking ya gari , eneo la kuchimba kisima cha maji na karo la choo. Bei mil 5. Mawasiliano 0716805201.