Plot for sale - Mil. 4 Neg

GREGO

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
4,282
Reaction score
2,938
Kiwanja kinauzwa

Sehemu: Malamba Mawili - Mbezi
Ukubwa: mita 23 kwa 15
Bei: Mil. 4 (4,000,000)
Mazungumzo yapo
Umeme, maji vipo.

NiPm tufanye Biashara
 
Kiwanja kinauzwa

Sehemu: Malamba Mawili - Mbezi
Ukubwa: mita 23 kwa 15
Bei: Mil. 4 (4,000,000)
Mazungumzo yapo
Umeme, maji vipo.

NiPm tufanye Biashara
kutoka morogoro road kuna umbari gani kuja kwenye kiwanja?
 
Huko si ndio ardhi wamesema ni eneo la viwanda au sio huko?
 
Kama ni hivyo sawa mkuu. Maana siku hizi Dar inaogopwa kama ukoma
 
Kiwanja kinauzwa

Sehemu: Malamba Mawili - Mbezi
Ukubwa: mita 23 kwa 15
Bei: Mil. 4 (4,000,000)
Mazungumzo yapo
Umeme, maji vipo.

NiPm tufanye Biashara
mita 23 kwa 15 kidogo sana me nakupa milioni 2 kama upo tayari tufanye biashara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…