Plot4Sale Plot for sale at Kiluvya

Hadi next week kama hujapata mteja nitafute .
Mil. 5.5 itapendeza
nipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!
 
nipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!
Kifuru ndo wapi?
Mi nataka iwe along Morogoro Road.
Huduma za kijamii ni muhimu lkn hata kama pamejengeka kama U.S.A bila kupimwa sinunui.


Sent from my VFD 1100 using JamiiForums mobile app
 
a497c00f170c13b6f3bcea6008323efa.jpg


Mchoro huu hapa chini ya mill7.5 hapauzwi
 
nipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!
Mkuu kifuru napapata,nina milioni 4 je unaweza nisaidia kama mdogo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom