weka mawasiliano Tuyajenge mkuuNyanya Mbichi
nitafutie mteja nauza kiwanja kipo kiluvya madukani ukubwa 46*36 bei 8m.
Mawasiliano njoo pm
weka mawasiliano Tuyajenge mkuuNyanya Mbichi
nitafutie mteja nauza kiwanja kipo kiluvya madukani ukubwa 46*36 bei 8m.
Mawasiliano njoo pm
nipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!Hadi next week kama hujapata mteja nitafute .
Mil. 5.5 itapendeza
Kifuru ndo wapi?nipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!
Mil 8 itapendeza sasa
Mchoro huu hapa chini ya mill7.5 hapauzwi
Huogopi bomoabomoa?Kifuru ndo wapi?
Mi nataka iwe along Morogoro Road.
Huduma za kijamii ni muhimu lkn hata kama pamejengeka kama U.S.A bila kupimwa sinunui.
Sent from my VFD 1100 using JamiiForums mobile app
Mkuu kifuru napapata,nina milioni 4 je unaweza nisaidia kama mdogo wakonipe iyo hela nikupatie 20x20 kifuru umeme mpaka kiwanjani maji yapo ya kutosha, nyumba zimejengwa za kutosha tena za kisasa naghorofa zakutosha, barabara mpaka uwani!
Si u delete mwenyewe, option zote unazo Mkuu wala huna haja ya Mods.Mod Tafadhali naomba hii picha iwe deleted its not my concern
Kuomba msaada kwa maana nimeshindwaSi u delete mwenyewe, option zote unazo Mkuu wala huna haja ya Mods.
Hapo kwenye post yako (ukiwa ume log in) chini, kulia si kuna display za Edit, delete n.k?Kuomba msaada kwa maana nimeshindwa
Nilifanya hivyo ikakataaHapo kwenye post yako (ukiwa ume log in) chini, kulia si kuna display za Edit, delete n.k?
ungoza mdogo wangu si unajua hivi vitu sio nyanya! jitahidi kwa 5.4 milMkuu kifuru napapata,nina milioni 4 je unaweza nisaidia kama mdogo wako
Kama ni mchoro huo, basi plot yako siyo 46m kwa 36m, ila vipimo sahihi itakuwa, 46m, 20m, 33m na 20m. Hivyo basi ukubwa wa plot umepungua kulingsnisha na Tangazo lako.
Mchoro huu hapa chini ya mill7.5 hapauzwi
Sorry rejea mchoroHiyo 46*36 unamaanisha vipimo gani?
Maelezo yangu tufanye yanawalakini kidogoMchoro hauoneshi hivyo