Please naomba ushauri wenun kama zangu katika jamii forums

Please naomba ushauri wenun kama zangu katika jamii forums

PCZZO

Member
Joined
Jul 4, 2012
Posts
11
Reaction score
0
Kuna siku girlfriend wangu alinipigia simu na kuniarifu kuwa yeye anaomba kuachana na mimi lakini kwakuwa tayari tuna mtoto nilitaka kujua sababu lakini hakunipa sababu yoyote baada ya kumbana sana ndipo akaamua kuahirisha wazo lake.Siku nyingine tena alirudia wazo lake lakini pia baada ya kumbana alighaili baada ya wiki moja nilipokea simu kutoka kwa gfriend wangu nilishangaa kusikia sauti ya kiume badala ya kike kama nilivyozoea nanukuu "Oya nakuomba uachane na demu wangu ....alimtaja jina halafu unamg'ang'ania wa nini anakutaka muachane lakini we unaamg'ang'nia unataka nini hasa na kama hutonisikia utaona kitakachotokea " mwisho wa kunukuu.Baada ya kukata simu alipiga tena g'frind wangu na kukanusha oh sio hivyo sijamwambia akupigie kaninyang'anya simu kisha kakupigia wewe samahani honey

swali:1 kwanini mshkaji alitumia simu ya g'friend wangu kunipigia mimi kama hawana mahusiano ?
sawli:2 mshkaji alijuaje kwamba g'friend wangu aliniomba tuachane yaani alijuaje ishu kama hiyo?

Na sasa ananiomba nimsamehe kwani mimi niliamua kumkaushia lakini ananibembeleza sana mpaka najisikia vibaya
je nifanyeje wadau?
 
Asiyesikia la mkuu huvunjika guu,.kama ni kweli ni bora ukaachana naye usijejuta mwanaume mwenzangu
 
pogezea huyo sio mkweli ila ka la ya kumpotezea mle tigo
 
Kuna siku girlfriend wangu alinipigia simu na kuniarifu kuwa yeye anaomba kuachana na mimi lakini kwakuwa tayari tuna mtoto nilitaka kujua sababu lakini hakunipa sababu yoyote baada ya kumbana sana ndipo akaamua kuahirisha wazo lake.Siku nyingine tena alirudia wazo lake lakini pia baada ya kumbana alighaili baada ya wiki moja nilipokea simu kutoka kwa gfriend wangu nilishangaa kusikia sauti ya kiume badala ya kike kama nilivyozoea nanukuu "Oya nakuomba uachane na demu wangu ....alimtaja jina halafu unamg'ang'ania wa nini anakutaka muachane lakini we unaamg'ang'nia unataka nini hasa na kama hutonisikia utaona kitakachotokea " mwisho wa kunukuu.Baada ya kukata simu alipiga tena g'frind wangu na kukanusha oh sio hivyo sijamwambia akupigie kaninyang'anya simu kisha kakupigia wewe samahani honey

swali:1 kwanini mshkaji alitumia simu ya g'friend wangu kunipigia mimi kama hawana mahusiano ?
sawli:2 mshkaji alijuaje kwamba g'friend wangu aliniomba tuachane yaani alijuaje ishu kama hiyo?

Na sasa ananiomba nimsamehe kwani mimi niliamua kumkaushia lakini ananibembeleza sana mpaka najisikia vibaya
je nifanyeje wadau?
mi maswali yako tu!
 
Achana naye huyo, atakuja kuku-frustrate. Yaani wakati wewe umeshatuliza mawazo unajua ni wako, atasepa. Mwache kamanda, anaziba nafasi ya demu ambaye atakupenda kweli!!!
 
in short demu wako ana mtu mwingine anayemkamua....

too bad penzi jipya tamuu.....

anataka kukuacha ila nafsi yake inasita...

swali ni je upo tayari kuwa spare tyre?
 
kaka kwanza mm nakushangaa sana, kuchelewesha mambo, huyu ni kupiga chini tu
 
pole my brother, najua kuachwa ni shughuli pevu ila jitahidi kumtoa mawazoni mwako utazoea tu.
 
Wahenga walisema MAPENZI YA MWANADAMU SI JAMBO DAWAMU
Naam! Leo unaweza kupendwa Kesho unaweza Kukataliwa.
Wanaoishi vizuri ni wale waliojitayarisha kwa hali zote mbili.
Tatizo la Mapenzi ya leo
A=LOVES=B,,
B=LOVES=C,,
C=LOVES=D,,
D=LOVES=B..etc
You better love your Creator,,your Lover is not your Creator
 
Kuna siku girlfriend wangu alinipigia simu na kuniarifu kuwa yeye anaomba kuachana na mimi lakini kwakuwa tayari tuna mtoto nilitaka kujua sababu lakini hakunipa sababu yoyote baada ya kumbana sana ndipo akaamua kuahirisha wazo lake.Siku nyingine tena alirudia wazo lake lakini pia baada ya kumbana alighaili baada ya wiki moja nilipokea simu kutoka kwa gfriend wangu nilishangaa kusikia sauti ya kiume badala ya kike kama nilivyozoea nanukuu "Oya nakuomba uachane na demu wangu ....alimtaja jina halafu unamg'ang'ania wa nini anakutaka muachane lakini we unaamg'ang'nia unataka nini hasa na kama hutonisikia utaona kitakachotokea " mwisho wa kunukuu.Baada ya kukata simu alipiga tena g'frind wangu na kukanusha oh sio hivyo sijamwambia akupigie kaninyang'anya simu kisha kakupigia wewe samahani honey

swali:1 kwanini mshkaji alitumia simu ya g'friend wangu kunipigia mimi kama hawana mahusiano ?
sawli:2 mshkaji alijuaje kwamba g'friend wangu aliniomba tuachane yaani alijuaje ishu kama hiyo?

Na sasa ananiomba nimsamehe kwani mimi niliamua kumkaushia lakini ananibembeleza sana mpaka najisikia vibaya
je nifanyeje wadau?



Kwa mahesabu ya karibu huyo msichana haridhiki na wewe / hakupendi na anatafuta replacement siku akiipata ya kueleweka lazima makamazi yaishe kichwani. Amerudi kuomba msamaha kwa kuwa hajapata alichokitarajia kwa huyo jamaa kama angepata asingekutafuta.
USHAURI: Kwa usalama wa afya na akili yako mpige chini kabla hajakuletea maradh kutoka kwenye huo msako wake au ukiona vipi ngangania ila uwe na uhakika wa kulizwa.
 
Kuna siku girlfriend wangu alinipigia simu na kuniarifu kuwa yeye anaomba kuachana na mimi lakini kwakuwa tayari tuna mtoto nilitaka kujua sababu lakini hakunipa sababu yoyote baada ya kumbana sana ndipo akaamua kuahirisha wazo lake.Siku nyingine tena alirudia wazo lake lakini pia baada ya kumbana alighaili baada ya wiki moja nilipokea simu kutoka kwa gfriend wangu nilishangaa kusikia sauti ya kiume badala ya kike kama nilivyozoea nanukuu "Oya nakuomba uachane na demu wangu ....alimtaja jina halafu unamg'ang'ania wa nini anakutaka muachane lakini we unaamg'ang'nia unataka nini hasa na kama hutonisikia utaona kitakachotokea " mwisho wa kunukuu.Baada ya kukata simu alipiga tena g'frind wangu na kukanusha oh sio hivyo sijamwambia akupigie kaninyang'anya simu kisha kakupigia wewe samahani honey

swali:1 kwanini mshkaji alitumia simu ya g'friend wangu kunipigia mimi kama hawana mahusiano ?
sawli:2 mshkaji alijuaje kwamba g'friend wangu aliniomba tuachane yaani alijuaje ishu kama hiyo?

Na sasa ananiomba nimsamehe kwani mimi niliamua kumkaushia lakini ananibembeleza sana mpaka najisikia vibaya
je nifanyeje wadau?



Kwa mahesabu ya karibu huyo msichana haridhiki na wewe / hakupendi na anatafuta replacement siku akiipata ya kueleweka lazima makamasi yaishe kichwani. Amerudi kuomba msamaha kwa kuwa hajapata alichokitarajia kwa huyo jamaa kama angepata asingekutafuta.
USHAURI: Kwa usalama wa afya na akili yako mpige chini kabla hajakuletea maradhi kutoka kwenye huo msako wake au ukiona vipi ngangania ila uwe na uhakika wa kulizwa.
 
take care, coz. girlfrend.wako ni dhaifu, na wewe ukiwa dhaifu ujue umekwisha. simama imara. anakudanganya huyo. huo mchezo nlishachezewa sana nikaambulia PATUPU.
 
bila kucheza kombolela hapa la maana ni kwamba demu anazingua, kiujumla ila naomba uwe mwangalifu, huyo unamwita demu akati tayari una mtoto nae, sijakusoma vizuri una maana gani hasa akati ni mzazi mwenzio pili yawezekana anafanya hivo anataka kitu fulani ambacho kimekawia kutokea uoneshe kwamba una mpango nae, mpango endelevu hio uyo mshikjai alikua anaweka vitisho kwamba anaweza kuwa na mwanaume mwingine.. . .tatu wewe binafsi unajisikia amani kuwa na huyo au nawe una mchakato tayari
 
Back
Top Bottom