Miss Jay
JF-Expert Member
- Jun 2, 2013
- 211
- 174
Habari wana jamvi,,,nataka kufanya biashara ya kuprint T shirt na kuziuza kwaiyo raw materials mojawapo ninazohitaji ni T shirt plain nzito nzuri za kiwango yaweza kuwa Manga au brand nyingine nzuri zaidi isiyopauka pia nahitaji boxer aina ya CK Calvin Klein mwenye kujua naweza kuzipata wapi anijuze tafadhali au kama kuna mtu anauza na amesoma uzi huu basi tuwasiliane,,Asanteni