Pitia uone Askari wetu wa Magereza

Hivi kuna tatizo gani na watu wetu wa urembo? Yaani kwenye kuchonga Nyusi lazima upande mmoka wakosee yaani wapandishe juu kidogo!
 
mtoto mzuri baada hivi mkuu wa kaya hajamwona si angempa u DC, Sasa kifaa kama hicho kinalinda wafungwa kweli si udhalilishaji wa kijinsia huo .
 
Hivi kuna tatizo gani na watu wetu wa urembo? Yaani kwenye kuchonga Nyusi lazima upande mmoka wakosee yaani wapandishe juu kidogo!

Macho Yako Yanafanya Kazi Vizuri.. Thumbs Up!
 
kafanyaje kwani
namfahamu...

nitumie namba yake tafadhari masai dada, ni pm .kuna kiwanja aliniuzia capt. komba pale kinondoni ili alipe deni crdb nitakupa masai dada kiwanja hicho bure ukinipa namba zake huyo mrembo ila hati yenyewe ya kiwanja ameenda nayo komba
 
Mbona kama hapo kati pamechanika?

Kuna kitu nakiona kwa mbaaaali!

Chunguza uone...:lol:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…