Pitia hapa tafadhali, usije ukajilaumu!

Pitia hapa tafadhali, usije ukajilaumu!

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,854
Reaction score
5,714
usije ukajilaumu kwa nini hukunipa msaada wa kuweza,.....kuweza kuzama chumvini ili nami niimalishe ndoa kama nyie!!

jamani, kila nikijaribu nashindwa! nataka kutapika.....napata mfadhaiko wa akili.

1. harufu,
2. hedhi inapitia hapo....najikuta nahisi ndo itatoka muda huo,
3. maelezo ya madaktari kuwa papuchi huwa zinajisafisha zenyewe. kwa hiyo zitaendelea kufanya hivyo wakati nazama chumvini na hayo mauchafu kuishia kinywani?!!!! shiiiiiiiit!
4. 'fala tu yule, nimemlambisha mpaka 'k' ataniambia nini?', maneno haya niliyasikia kwa dada mmoja hivi akimponda x wake waliokorofishana. najiuliza, ina maana wanatuona mambwiga tukienda chumvini?
5. kufanana na nyama.....hii itanipa shida sana kula nyama maana itakuwa km naila papuchi vile!

mnaoweza kwenda chumvini hivi mnafanyaje fanyaje?!! msaada tafadhali
 
Ukiona mwanamke anataka uzame chumvini anataka kukukomoa kama namba 4 hapo juu. Mwanaume wa ukweli huwezi ambiwa unless wewe ni marioo.
kumbe ee? basi hata sipatikani huko
 
Kunyonywa k raha jamani, halafu kumbuka mapenzi ni uchafu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nadhalia ya mapenzi ni uchafu sijui yatoka, kwa defn hiyo basi kuna wale hula KINY**SI CHA WAPENZI WAO NAO WAPO SAWA. hii statement ya mapenzi ni uchafu naonaga haijakaaa vema sana.

Ila vitimbwili ktk mahusiano ni muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom