masopakyindi Platinum Member Joined Jul 5, 2011 Posts 18,410 Reaction score 14,119 Aug 10, 2015 #2 Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA,
H H20 JF-Expert Member Joined Jun 4, 2013 Posts 341 Reaction score 170 Aug 10, 2015 #3 Anaitwa kapi halafu yy anakaa karibu na ng'ombe. Si unajua ng'ombe wanakula makapi? Aangalie asije akawa chakula cha mifugo ndugu kapi.
Anaitwa kapi halafu yy anakaa karibu na ng'ombe. Si unajua ng'ombe wanakula makapi? Aangalie asije akawa chakula cha mifugo ndugu kapi.
UncleBen JF-Expert Member Joined Oct 27, 2014 Posts 9,693 Reaction score 12,320 Aug 10, 2015 #4 H20 said: Anaitwa kapi halafu yy anakaa karibu na ng'ombe. Si unajua ng'ombe wanakula makapi? Aangalie asije akawa chakula cha mifugo ndugu kapi. Click to expand... Hahahaha kiswahili kipana kweli
H20 said: Anaitwa kapi halafu yy anakaa karibu na ng'ombe. Si unajua ng'ombe wanakula makapi? Aangalie asije akawa chakula cha mifugo ndugu kapi. Click to expand... Hahahaha kiswahili kipana kweli
msemakweli JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 1,627 Reaction score 880 Aug 10, 2015 #5 Pekupeku.....aisee.....nimeipenda hii. Asa kama alikuwa anajua matatizo ya wakulima kwa nini hakuwasaidia?
Pekupeku.....aisee.....nimeipenda hii. Asa kama alikuwa anajua matatizo ya wakulima kwa nini hakuwasaidia?
wajingawatu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2013 Posts 2,051 Reaction score 2,462 Aug 10, 2015 #6 wanatamani said: View attachment 275103 Click to expand... Rais wa fikra
Lupweko JF-Expert Member Joined Mar 26, 2009 Posts 24,940 Reaction score 26,796 Aug 10, 2015 #7 masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... Nijuavyo mimi makapi ni uchafu uliosalia. Sasa waliobaki huko CCM naona kama vile ndio wanastahili kuitwa makapi!
masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... Nijuavyo mimi makapi ni uchafu uliosalia. Sasa waliobaki huko CCM naona kama vile ndio wanastahili kuitwa makapi!
benerax Member Joined Jul 11, 2015 Posts 70 Reaction score 29 Aug 10, 2015 #8 Makapi sio kitu kilichoondoka Bali ni kitu kilichobaki,so waliochujwa na kubaki ccm ndio makapi
kalambo one Member Joined May 16, 2015 Posts 46 Reaction score 12 Aug 10, 2015 #9 Kwa kisukumA kuna MASHISHANGA
kalambo one Member Joined May 16, 2015 Posts 46 Reaction score 12 Aug 10, 2015 #10 [QU OTE=benerax;13585799]Makapi sio kitu kilichoondoka Bali ni kitu kilichobaki,so waliochujwa na kubaki ccm ndio makapi[/QUOTE] MASHISHANGA
[QU OTE=benerax;13585799]Makapi sio kitu kilichoondoka Bali ni kitu kilichobaki,so waliochujwa na kubaki ccm ndio makapi[/QUOTE] MASHISHANGA
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Aug 10, 2015 #11 Jamaa kapauka sana,
mafimboo JF-Expert Member Joined Oct 9, 2014 Posts 2,415 Reaction score 978 Aug 10, 2015 #12 masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... makapi na oil chafu ni wale waliokatwaa na ccm kwenye kupitishwaa.hata kama hakuhama bado ni kapi
masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... makapi na oil chafu ni wale waliokatwaa na ccm kwenye kupitishwaa.hata kama hakuhama bado ni kapi
Kitaja JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 2,836 Reaction score 1,383 Aug 10, 2015 #13 masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... Kweli wewe hamnazo. yaani mtu asipohama sio makapi ila akihama ni makapi! kweli lumumba imebaki misukule tu.
masopakyindi said: Usipotoshe maana ili kujifurahisha Makapi ni wale waliohamia UKAWA, Click to expand... Kweli wewe hamnazo. yaani mtu asipohama sio makapi ila akihama ni makapi! kweli lumumba imebaki misukule tu.
denoo49 JF-Expert Member Joined Mar 29, 2011 Posts 6,113 Reaction score 6,953 Aug 10, 2015 #14 Nashukuru sana Mungu, ameshika smart phone. Naishia hapa.
L lulu za uru JF-Expert Member Joined Aug 7, 2015 Posts 2,710 Reaction score 3,392 Aug 10, 2015 #15 huyu ndo mjanja sasa..anajilia pesa yake kiulaaani.
A view to a kill JF-Expert Member Joined Jun 9, 2015 Posts 2,213 Reaction score 1,270 Aug 11, 2015 #16 Hana maadili huyo mzee,ofisi anaiona chungu,vijana wake akina makamba wamemzidi maadili,