inapotokea wewe huna time na yake lakini yeye ndio kazi yake kupekua yako inakuwaje?.....mana nakerekaga sana, ukitoka kidogo tu unakuta cmu imepekuliwa mpaka bac.
No pin Code! simple :angry:
ghafla tu mwenzako unaeishi nae ndani anaweka pin code kwenye simu ni inakua nini maamuzi,uoga au ni kutaka privacy maana nashindwa kuelewa na hiyo pincode hampi mwenzie hivi inawezekana kweli kwa uhusiano ulio wazi.....
mtu anaibiwa hapo... au usukununu umezidi
Hii inategemea n'tu na n'tu
Tena kama wewe ndo nakuhitaji utoke chawote na vipin code vyako napasua simu tetetetee am kidding
huyo nae ...Hahahaha hapo shingo inaweza ikachubuliwa.
Juzi kati hapa nilikuwa na toto la geti kufika kwa meza anaomba cmu yangu nilishangaa nikamuuliza unataka upige au unataka ufanyeje akasema anataka aangalie nikamwambia kama umejia hicho kuchunguza cmu yangu basi tuishie hapa hapa.
Hivi hata kama ndo mechi za mchangani si yanaishia huko huko kwa nini mfatane hadi kwenye simu? (Fidel inahusu hapo)
Pin Code ndio nini?? Mbona Kanisani hatupewi?
Hahahahaha mpwa kwema lakini? Wenzio twalowa huku vitanda vinaelea, Game za mchangani zipo busy na waheshimiwa kuwaliwaza yaani kama tupo maeneo ya USALULE kuleeeeeeeee.
Cmu yangu hagusi n'tu mpwa kuna kazi ya geti ikataka itizame cmu yangu nilimwambia haiwezekani kama amejia kupekua pekua hapo NO.
ghafla tu mwenzako unaeishi nae ndani anaweka pin code kwenye simu ni inakua nini maamuzi,uoga au ni kutaka privacy maana nashindwa kuelewa na hiyo pincode hampi mwenzie hivi inawezekana kweli kwa uhusiano ulio wazi.....
Hapo ni wazi kwamba something is going on underground, mojawapo ya mambo ya msingi kwa watu wapendanao tena wanaoishi pamoja ni kuwa wawazi. Ifikie hatua hata kupokeleana simu au kujibiana messages au hata kama umepinda unahamisha salio.