mbwiganyuki
Senior Member
- Nov 3, 2012
- 156
- 105
Iko poa kabisa, ina miezi saba tu !toka imenunuliwa, bei yake ipo poa pia, kwa anayehitaji ni Pm tafadhali. Mali ni yangu so hakuna dalali!
Inarange kwenye shs ngapi toa range mkuu for more negotiation
Top price 9500,000/= kama uko serious ni pm nikupigie tuongee
Top price 9500,000/= kama uko serious ni pm nikupigie tuongee
Mkuu unapotoa tangazo la biashara, weka picha, eleza uko sehemu gani (location) na ujifunze kuandika namba vizuri. Sijawahi kuona pikipiki tena FEKON inauzwa 9,500,000
Unaishi mkoa gani
Iko poa kabisa, ina miezi saba tu !toka imenunuliwa, bei yake ipo poa pia, kwa anayehitaji ni Pm tafadhali. Mali ni yangu so hakuna dalali!
Iko poa kabisa, ina miezi saba tu !toka imenunuliwa, bei yake ipo poa pia, kwa anayehitaji ni Pm tafadhali. Mali ni yangu so hakuna dalali!
Iko poa kabisa, ina miezi saba tu !toka imenunuliwa, bei yake ipo poa pia, kwa anayehitaji ni Pm tafadhali. Mali ni yangu so hakuna dalali!
Nipo Dar es salaam mkuu!.