Piki piki daresalam

Piki piki daresalam

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari Wana JF.
Nimekua nikizunguka kwenye mitandao ya kijamii nakukutana na watu wanapost wanauza pikipiki used wengi wao wapo DSM.
Piki piki yenye thamani ya Milion3 unakuta imetumiwa kidogo inauzwa Milion 1
Je? Kunausalama kwenye hvyo vyombo au nivyauwizi?
JE? Vipi kuhusu ambao walishawahi kununua havina usumbufu wowote kwa upande wa engine?
Je? Kwa mnunuzi atajuaje kama nimali halali nasio ya wizi ?
 
HUKU UNAWEZA UZIWA SIMU FULL BOX NA KUMBE SIO MPYA
 
Si unapewa document zote na kuhusu ubora kabla haujanunua unaenda na fundi wako kuikagua
 
Kwa ufupi sana, wakweli wapo na wababaishaji pia wapo, kikubwa kuwa makini na omba sana Mungu katika hilo
 
Habari Wana JF.
Nimekua nikizunguka kwenye mitandao ya kijamii nakukutana na watu wanapost wanauza pikipiki used wengi wao wapo DSM.
Piki piki yenye thamani ya Milion3 unakuta imetumiwa kidogo inauzwa Milion 1
Je? Kunausalama kwenye hvyo vyombo au nivyauwizi?
JE? Vipi kuhusu ambao walishawahi kununua havina usumbufu wowote kwa upande wa engine?
Je? Kwa mnunuzi atajuaje kama nimali halali nasio ya wizi ?
Una uhakika upi kwamba ina thamani ya 3m ? Lazima kuwepo na maelezo unless mtu anauza sababu ana shida na pesa za haraka (chini ya thamani halisi) basi huenda hio 1 m ndio halisi kutokana na kwamba ingekuwa ni punguzo kubwa kiasi hicho na uhitaji wa wengi basi usingeikuta watu wangeshachukua AU huenda wewe una information ambazo majority hawana hivyo unaweza kuzinunua hizo kuzirekebisha na kuuza 1.5m

In short always do your due diligence and every case is different...
 
Back
Top Bottom