Habari Wana JF.
Nimekua nikizunguka kwenye mitandao ya kijamii nakukutana na watu wanapost wanauza pikipiki used wengi wao wapo DSM.
Piki piki yenye thamani ya Milion3 unakuta imetumiwa kidogo inauzwa Milion 1
Je? Kunausalama kwenye hvyo vyombo au nivyauwizi?
JE? Vipi kuhusu ambao walishawahi kununua havina usumbufu wowote kwa upande wa engine?
Je? Kwa mnunuzi atajuaje kama nimali halali nasio ya wizi ?
Nimekua nikizunguka kwenye mitandao ya kijamii nakukutana na watu wanapost wanauza pikipiki used wengi wao wapo DSM.
Piki piki yenye thamani ya Milion3 unakuta imetumiwa kidogo inauzwa Milion 1
Je? Kunausalama kwenye hvyo vyombo au nivyauwizi?
JE? Vipi kuhusu ambao walishawahi kununua havina usumbufu wowote kwa upande wa engine?
Je? Kwa mnunuzi atajuaje kama nimali halali nasio ya wizi ?