Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,975
Habari zenu?
Ninauza Nissan Pick up, ya mwaka 1989,capacity yake 2 tons, inatumia Diesel.watu watatu wanakaa kwenye kibini ya dereva.
Ipo tu imepaki nyumbani na ipo kwenye hali nzuri zaidi ni kubadilisha betri, road licence yake imeisha September 2014.
Kwa wale wanaohitaji gari za kufanyia kazi hii itawafaa zaidi.
Sababu za kuuza mmiliki ninaishi zaidi DAR na kuacha kuitumia gari hiyo kwa muda mrefu sasa.
Kwa aliye serious aje na aione kwa macho, sina kamera ya kupigia picha,natumia simu isio na kamera.
BEI:MILLIONI SITA NA NUSU
Mawasiliano: 0752489529 au NI PM.
Ninauza Nissan Pick up, ya mwaka 1989,capacity yake 2 tons, inatumia Diesel.watu watatu wanakaa kwenye kibini ya dereva.
Ipo tu imepaki nyumbani na ipo kwenye hali nzuri zaidi ni kubadilisha betri, road licence yake imeisha September 2014.
Kwa wale wanaohitaji gari za kufanyia kazi hii itawafaa zaidi.
Sababu za kuuza mmiliki ninaishi zaidi DAR na kuacha kuitumia gari hiyo kwa muda mrefu sasa.
Kwa aliye serious aje na aione kwa macho, sina kamera ya kupigia picha,natumia simu isio na kamera.
BEI:MILLIONI SITA NA NUSU
Mawasiliano: 0752489529 au NI PM.