HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,935
Mwigulu anaweza kulipa ada! Kwako ni most expensive, kwake ninreasonable price kwa quality of education!
Wapo wababa wanaokunywa Pombe kwa mwaka pesa nyingi kuliko ada ya Feza! Ktk maisha ñi kupanga priorities tu!
Viongozi walio wengi ni chumia tumboKiuhalisia viongozi wangetakiwa wawe mfano lakini sivyo,japo natambua itakuwa ngumu kulitekeleza hili kwa vitendo
Bado anaweza kuwa mzalendo pamoja na kumsomesha mwanae Feza!Shida anatuaminisha ni mtetezi wa wanyonge!
Mimi nafikiri tungepitisha sheria kuwa ukiwa kiongozi wa umma lazima watoto wako wasome shule za umma ili kama wanaona hazina ubora wangeziboresha maana wangejua wasipofanya hivyo na watoto wao pia watahathirika. Lakini kwa mtindo huu ni ngumu mno kwa viongozi kuboresha elimu maana haiwaathiri wao na familia zao.
Umesoma lugha gani hiyo? Nini maana ya bhasi?Hiyo kwa sisi tuliobahatika kusomea lugha tunasema ni ishara ya kukosa elimu yaani umbumbumbu maana ukiona mtu anajisifu kwa matusi ujue ni tatizo hilo.... mimi hapa nipo huru wala sina mlengo wa chama chochote ninachosema ni hivi viongozi wanaopeleka watoto wao nje au international school sio wazalendo wawe wa Upinzani au Chama tawala maana hawatakuwa na uchungu na watoto wa wayonge ....kwahyo ulichotaka wewe kutuaminisha ni kuwa kwakuwa huyo uliemtaja anasomesha watoto ulaya bhasi ni halali na huyo kusomesha international nikakuambia kuwa hauwezi kulisahihisha kosa moja kwa kosa jingine..ulichokifanya wewe ukaleta mambo ya kitoto ..kama unafikiria mimi ni miongoni mwa wale manoleteana mambo ya uchama nakuambia you are wrong mimi ni mtu huru
Kingeleza = Kingereza.Walimu wa shule duni wanajua Kiingereza ila hao unapotaka kumpeleka ndio wanaojua kingeleza
Siku ingine utakuja na adabu.Umesoma lugha gani hiyo? Nini maana ya bhasi?
Mimi nipo hapa dodoma mkuu kwahiyo ushauri wako huu nami unanihusu?si unaijua dodoma kwa ccm?Amkeni wazazi tuchangie maboresho ya Elimu, hakuna kilicho cha bure ktk ulimwengu wa leo, Mkiwasikiliza hao wanasiasa mtakuwa wapiga kura milele
Kuna tofauti gani kati ya Feza na Mbagala Primary School??
Kwahiyo bora ni upande upi??syllabus zinatofautiana......
Kwahiyo bora ni upande upi??
TAJIRI NA MALI YAKE,Masikini na watotoView attachment 321828
Picha ya Waziri wa Kilimo na Mifugo na Mbunge wa Iramba Mashariki imezua "hisia" tofauti na mijadala mitandaoni.Picha hiyo inamuonyesha Mh.Mwigulu akiwa na mwanae wa kiume,na "Caption" ya picha inayosomeka elimuniufunguo. Kikubwa kilichozua mjadala ni nembo katika fulana ya mtoto yenye maandishi ya FEZA SCHOOL.
Maswali na mijadala ya wengi ni kuwa,itakuwaje na moyo wa kuimarisha elimu ktk shule za umma kama sehemu ya mawaziri ambao ni watekelezaji wa sera ya Elimubure na Uboreshwaji wa elimu katika shule za umma wanakimbiza watoto wao katika shule binafsi? Kwanini Mawaziri ambao ni sehemu ya utekelezaji wa sera wanaoamini katika elimu bora katika shule za umma wao hawawapeleki watoto wao huko?
Picha hii imezua mijadala tofautitofauti na wapo wanoona Mh.Mwigulu yupo sahihi kupeleka watoto shule binafsi sababu ukweli ni kuwa shule za serikali elimu yao ni duni na isiyo na ushindani.
Hivyo mawaziri kuwapeleka watoto shule binafsi na zenye ubora kama FEZA SCHOOL ni kuwaepusha na elimu duni inayotolewa na serikali
Haswaaaa inakuhusu sana uwe mtu wa kwanza kuhamasisha watu wachangie kwenye elimu hata km mwalimu yupo mtaani kwenu mwenyewe uwezo mzuri mumugaramie afundishe watoto wenu, , Dodoma ndo makao makuu ya nchi lakini watu wake ni duni sana ktk kila nyanja (wala viwavi) : kwahiyo mnahitaji nguvu ya ziada kuleta mapindunzi (Ombaomba wao, viwavi wao, Ccm wao, jangwa wao)Mimi nipo hapa dodoma mkuu kwahiyo ushauri wako huu nami unanihusu?si unaijua dodoma kwa ccm?
Ina maana kinachofundishwa Cambridge hakiko Necta?? Au ni malengo gani hayo mzazi anayalenga kuyapata Cambridge/Necta ambayo hayako upande mwingine wa mtaala??inategemea unamalengo gani na mwanao ...
ndio maana kuna NECTA & CAMBRIDGE ...
Ni malengo ya mtu au mzazi kwa mwanaye
Duuuuu,solowenyoHaswaaaa inakuhusu sana uwe mtu wa kwanza kuhamasisha watu wachangie kwenye elimu hata km mwalimu yupo mtaani kwenu mwenyewe uwezo mzuri mumugaramie afundishe watoto wenu, , Dodoma ndo makao makuu ya nchi lakini watu wake ni duni sana ktk kila nyanja (wala viwavi) : kwahiyo mnahitaji nguvu ya ziada kuleta mapindunzi (Ombaomba wao, viwavi wao, Ccm wao, jangwa wao)