Picha ya leo

englibertm Picha ni nzuri sana. Ila binadamu ni kiumbe cha ajabu sana. Anatengeneza sumu (pesticide/insecticides) kupulizia mashambani na nyumbani, matokeo yake anaua "nyuki" halafu anatengeneza mapambo ya chuma na majani ya mfano wa nyuki. Ni sawa na wanaoua Tembo halafu wanachonga vinyago vya tembo kwenye pembe yake.
 
Last edited by a moderator:
kuna ulinzi gani hapo, nijiandae

Weeee subutuu mwenyewe ana jambia na bistola....mie najiandaa ila wewe ndio uje uniombe ruhusa utajijuuuuuuuuuuuuuu

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…