EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Unyanyasaji dhidi ya wanawake wilayani Meatu unaendelea kuongezeka kwa kasi, kama inavyoonekana kwenye picha.
Mwanamke huyu alikuwa anapokea kichapo kutoka kwa wanaume. Hizo fimbo ni maalum kwa ajili ya kutandika wanawake.
Unyanyasaji wa wanawake unaojulikana kwa jina la Magoye. Wanaume hap pichani wanaonekana kuongea na binti lakini pia baada ya hapo asiposikiliza anaangushiwa bakora hizo walizozishika. Chanzo: http://simiyuyetu.blogspot.co.uk/2012/10/inasikitisha-unyanyasaji-dhidi-ya.html#_
Nicas Mtei hii wilaya uliyonipangia nimeishindwa. Noamba uhamisho. Labda Kongosho ataiweza
Mwanamke huyu alikuwa anapokea kichapo kutoka kwa wanaume. Hizo fimbo ni maalum kwa ajili ya kutandika wanawake.
Unyanyasaji wa wanawake unaojulikana kwa jina la Magoye. Wanaume hap pichani wanaonekana kuongea na binti lakini pia baada ya hapo asiposikiliza anaangushiwa bakora hizo walizozishika. Chanzo: http://simiyuyetu.blogspot.co.uk/2012/10/inasikitisha-unyanyasaji-dhidi-ya.html#_
Nicas Mtei hii wilaya uliyonipangia nimeishindwa. Noamba uhamisho. Labda Kongosho ataiweza